CCM watatafunwa na siasa zao za maji ya chooni, okey Mukama peleka ushahidi tuone nani atakayeumbuka. Kumbe baadhi ya watu wanavyozeeka wanazidi kuwa watupu kichwani.Mwenyeki wa Chadema Taifa Mh. Freeman Mbowe akijibu tuhuma za Katibu mkuu wa CCM Mukama kuwa chama chake kimeingiza makomandoo 33 kutoka nje, ameshangaa na kueleza kuwa kauli za katibu mkuu huyo wa CCM ni matokeo ya "kushiriki siasa za uzeeni".
"Sasa hili Mukama hawezi akajua kwa sababu yeye anafanya siasa za uzeeni. ..Yeye (Mukama) hajawahi kugombea udiwani, uenyekiti wa mtaa, ubunge au nafasi yoyote ndani ya chama chake zaidi ya huu ukatibu mkuu ambao alipewa tu.. atayajuaje hayo?" Alihoji Mbowe
Alisema katika kipindi cha uchaguzi ni jambo la kawaida kwa chama chenye wapenzi wengi kama Chadema na CCM yenyewe kupokea mashabiki, makada na wapenzi kutoka nje ya eneo la uchaguzi. Mbowe alisema Chadema kina wapenzi na mashabiki kadhaa kutoka nje ya wilaya ya Igunga, lakini akaeleza kuwa siyo makomandoo kama anavyodai Mukama vinginevyo atoe ushahidi na kuwataja kwa majina.
::Mwananchi::
Kama Mkama anakiamini hicho alichokisema, sasa aonyeshe mfano! Amshinikize waziri wa Mambo ya ndani ajiuzuru mara moja kwa kuruhusu makomandoo hao kuingia nchini kinyume cha sheria! Kisha na yeye ajiuzuru kwa kuwa chama chake kinaongoza serikali isiyowajibika. Chadema ungeni mkono hoja ya Mkama mara moja! ... kwamba ni kweli kuna makomandoo na kisha ashinikizwe kujiuzuru!Tena inabidi siyo atoe information polisi inabidi watoe taarifa hizo jeshini maana huo ni uvamizi kutoka nje.
huo ni uongo ikiwemo propaganda za kitoto za kupanga matukio ya uvunjaji wa sheria ili kuwapa mavi wapinzani wake.
safi mbowe achana nao masaburi tu hawa wanatuchafulia jina halafu nyyiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mwenyeki wa Chadema Taifa Mh. Freeman Mbowe akijibu tuhuma za Katibu mkuu wa CCM Mukama kuwa chama chake kimeingiza makomandoo 33 kutoka nje, ameshangaa na kueleza kuwa kauli za katibu mkuu huyo wa CCM ni matokeo ya "kushiriki siasa za uzeeni".
"Sasa hili Mukama hawezi akajua kwa sababu yeye anafanya siasa za uzeeni. ..Yeye (Mukama) hajawahi kugombea udiwani, uenyekiti wa mtaa, ubunge au nafasi yoyote ndani ya chama chake zaidi ya huu ukatibu mkuu ambao alipewa tu.. atayajuaje hayo?" Alihoji Mbowe
Alisema katika kipindi cha uchaguzi ni jambo la kawaida kwa chama chenye wapenzi wengi kama Chadema na CCM yenyewe kupokea mashabiki, makada na wapenzi kutoka nje ya eneo la uchaguzi. Mbowe alisema Chadema kina wapenzi na mashabiki kadhaa kutoka nje ya wilaya ya Igunga, lakini akaeleza kuwa siyo makomandoo kama anavyodai Mukama vinginevyo atoe ushahidi na kuwataja kwa majina.
::Mwananchi::
Acha kichaa mbona huyo jk hajawataja hoa viongozi wa dini ili tuwafahamu? na kama wapo mbona hawafikishwi mahakaman? does it mean wapo juu ya sheria? tunataka ushahid na sio maneno matupu ya rais asiyejiamin...isue hapo ni ushahidi na si ushabiki yasije yakawa ya madawa yakulevya ya viongozi wa dini na jakaya then baada ya ushahidi wakaloa