Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,485
- 2,754
hahahaaNakumbuka wakati anaongelea UKUTA kwa kejeli,kiburi na dharau....Kweli dunia duara
hahahaaNakumbuka wakati anaongelea UKUTA kwa kejeli,kiburi na dharau....Kweli dunia duara
Kwahiyo ukiwachukia ndio inakuwaje labda!?Du hawa wasanii siweapendi acha wakamatwe.
Wakati wa kampeni walimdhihaki sana mzee.
Walihisi Tanzania ni ya kwao peke yao.
Sasa kwa sababu inawarudia acha wazikane.
Sisemi uongo nawachukua wasanii
nilichojifunza ni kuwa simu ni hatari sana kwa sasa ktk mustakabali wa maisha yetu.....kama una kitu moyoni baki nacho tu kwa sasa ukitaka kumwqmbia mtu kwa simu utakuwa recorded...ukiongea face to face utakuwa recorded pia....bora kukaaaa kimyaaaaa
Makonda ndiye mgombea uraisi wa Uraisi chademaMakonda huyo.chuki mbaya sana
yana mwisho haya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza yuko wapi sasa, yupo kwao mwigundu huko akilimaKama amekamatwa itakuwa ni kwa maelekezo ya Daudi Albert Bashite.
Mbona IPO hapa JF kitambo....Mimi nimedownload nakuitunza kabisa...hahahaha!Mwenyewe Steve kwenye clip anasema ushahidi anao na mule katajwa hadi makamu wa rais.
Kuna watu wanasema kwamba amezusha kusema ameongea na hao mawaziri,na nikasema kwenye clip Steve anasika akisema ana ushahidi wa kuwa ameongea na hao watu kweli.M
Mbona IPO hapa JF kitambo....Mimi nimedownload nakuitunza kabisa...hahahaha!
Sio kwa sasa siku zote kwa watu wanaojielewa kwenye Issue Serious hawazitumii sasa hawa wanaopenda kujiita Wasanii...hawajielewi na wanadhani wanaishi nyakati za Mkwere...nilichojifunza ni kuwa simu ni hatari sana kwa sasa ktk mustakabali wa maisha yetu.....kama una kitu moyoni baki nacho tu kwa sasa ukitaka kumwqmbia mtu kwa simu utakuwa recorded...ukiongea face to face utakuwa recorded pia....bora kukaaaa kimyaaaaa
Mkuu tumeambiwa na necta kama tunahisi kuna mtu anatumia cheti Siyo chake tuseme ili wafanyie kazi.cha ajabu mpaka sasa hao necta wapo kimya nimewatumia e-mail wamchunguze Daudi bashite mpaka sasa hawajanijibu.duh na aliyesambaza taarifa kwamba makonda kanunua cheti kakamatwa?
Hii tabia ya kutoa fedha ipo CCM tu kama mlithubutu kuwahonga wabunge milioni 10 kupitisha sheria ya kipuuzi hamshindwi kuwanunua hao wasanii.Chadema jiandaeni kumsafisha na kumtetea huyo kwa gharama za chama..
Hizo ndizo siasa, dont take them seriouslyHuwezi kuona watu mashuhuri kutoka CCM wakienda Chadema sababu ya kukerwa na nchi inavyoongozwa ( wanatetea yote yanayotendwa) .....siku wakiguswa tu ndio wanakimbilia Chadema .....hawa watu si Chadema kweli kweli bali wajasiriamali wa kisiasa ....wengi watarudi CCM tena na kejeli kibao .....kinachokatisha tamaa hao "wakuja" wanajiimarisha kweli ....na uwezo huo wanao ingawa mwisho wake utakuwa ni kuibomoa Chadema ....
Wajifunze sasa.Paka 2020 wasanii wote mtakua mmepajua pale kati
haya ni mabadiliko ya kweli na chuma kinatema checheWajifunze sasa.
Ujanja hakuna kivip?makonda anatajirika na gsm tu.toeni macho tuSasa hv hiv ktk nchi hii ujanja hakuna tena