Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Nadhani huyu Steve alitumwa na wauza nanii, ili kumchafua mpiganaji wa maunga.

Labda hawakutumia simu bali walifanya kama mchezo wa kuigiza kwa mubashara face to face alafu wakairusha eti ni walipigiana simu.

Lengo kuu ni kuvunja nguvu za vita vya maunga na mabange.

Samahani wakuu kama nakosea kudhani, sababu nachukia saaaana maulevi. Angalia inchi zingine zinawaua. Hila sisi tusifikirie huko.
Katumwa ndo apewe laki 4 kwenda kuishi gest ya 30,000 kweli
 
Ukiwauliza wana CCM kuwa walipindua nini na kujiita Chama cha Mapinduzi? Hawana majibu.

CHADEMA na alama ya vidole kama ishara ya manati ambayo haiui hata inzi.

Wauza unga na watumiaji wanakimbilia au wanatoka huko CHADEMA na CCM
Mmmhhhhh
 
Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.

Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.

Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.

Sentensi yako ya mwisho inakuelezea wewe, ndiyo maana huolewi
 
Mwenyewe Steve kwenye clip anasema ushahidi anao na mule katajwa hadi makamu wa rais.
 
Akikamatwa Steve kuna aliyerekodi na kusambaza hao wote wameingilia faragha ya Mama Wema na Steve.
Pia tujifunze tukiwa tunaongea tusijimalize sana haswa kwenye mazungumzo ya simu.
Do you think things happen by accident? Tunavuna tunayopanda
 
Sijaona sababu ya kumkamata huyu jamaa ila kama ndo Kwa vile katangaza bifu la kutoongea nae basi na mwenzie katangaza bifu la kumsweka ndani.... Tutashuhudia mengi hadi 2o20 yangu macho na masikio
 
Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.

Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.

Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
Naomba nikuelimishe,Chama cha Siasa ni cha mtu yeyote yule hata kama ni mtuhumiwa wa kitu gan,Siasa ni maamuzi binafsi na kupenda sera za icho chama,Huwezi kumzuia mtu kuwa mwanachama wakati hajakisoea chama.Matendo au Mawazo hubadilika.
 
Wanahisi huenda na yeye akaanza kuwa msaliti
Waangalie 2020 huyu STEVE NYERERE aweza hamia CHADEMA
maana tangu uthubutu uoneshe na Mzee Lowassa watu hawana cha kupoteza

Msidsnganyike. Samaki hana jeuri nje ya maji
 
Hivyo Steve atakana sauti siyo yake ni ya kugushi? Kwa taarifa yako tumeipitisha kwenye spectrum analyzer matokeo 89.999% correlation. Tafuta pakutokea.
 


IMG-20170224-WA0049.jpg

N.B
Bado Sijaelewa, ni nini kosa la Steve Nyerere mpaka atiwe nguvuni?. Tena kama kuna mtu alistahili kushtaki ni yeye maana Faragha yake imeingiliwa kwa kudukuliwa bila ridhaa yake!

Je na mama Wema Sepetu naye atatiwa mbaroni kwa ile Audio?
 
Hii issue ya madawa imebuma
Wewe wasema. Jamaa akaeleza tu alikuwa anamaana gani kusema Wema hatumii unga ila bangi anavuta. Na yuko tayari kutoa ushahidi. Kama clip ni authentic, ajifunze kuweka akiba ya maneno. Yule binti mvua inamnyemelea.
 
Fb user unalalamika jf inaondondoa nyuzi zako inaonekana uko kifacebook zaidi ndio maana
 
nakumbuka ile reggae ya peter tosh.......when you are living in a glass house.......glass glass house.....
 
Back
Top Bottom