Sasa familia haiwezi chukua hatua kwa uchafuzi wa jina?,au jina halina hati miliki?Anaigizaga tu sauti yake ndo maana anaitwa vile
Ondoa shaka mkuu bwana Melo yupo!!mi ningeiweka..lakin si wajua tena makosa ya mtandao..
unaweza sambaza ujumbe..mwsho wa siku inakula kwako..
Maxelle Melo atakulinda?..mi ningeiweka..lakin si wajua tena makosa ya mtandao..
unaweza sambaza ujumbe..mwsho wa siku inakula kwako..
Hawana uhusiano wowote jamaa anatumia hilo jina kufanya udananda.Samahani kuna uhusiano wowote kati ya huyu jamaa na raisi wa kwanza wa nchi hii?..au wamefanana majina tu?..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha uoga jembe.Nihakikishie ulinzi kabla sijaipost kwanza
Ohoooo!!!duh na aliyesambaza taarifa kwamba makonda kanunua cheti kakamatwa?
Mtanyooka tu
Chadema jiandaeni kumsafisha na kumtetea huyo kwa gharama za chama..
We nae tangu jana hujapata tu???Jamani mwenye hiyo audio aiweke hapa nami niipate!!!