Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Acheni sheriya ichukuwe mkondo wke hizi audio zmewataja viongoz wkubwa na inaonekana kabisa wanapingana na Serekali iliyopo hlafu mbona viongozi wa Afrika hawawi km viongizi wa Marekani kwan kama bosi wako unaona hamuendani siijiuzulu tu inahajagani ykuwa mnafki nyuma ya pazia mwisho wake ni aibu kma hii.
 
hizi zote mbwembwe tu. kikubwa kupitia audio ile tumeshajua mengi maovu nyuma ya pazia kuhusu CCM na usanii (na wasanii) wake!
Hivi hiyo audio nani aliivujisha? Nimeisikiliza ina mambo mazito.
 
nilichojifunza ni kuwa simu ni hatari sana kwa sasa ktk mustakabali wa maisha yetu.....kama una kitu moyoni baki nacho tu kwa sasa ukitaka kumwqmbia mtu kwa simu utakuwa recorded...ukiongea face to face utakuwa recorded pia....bora kukaaaa kimyaaaaa
No shilawadu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ujeuri wote wa farao leo hata vumbi lake tu hakuna Hilo nalo litapita namba zimesomwa ni mwendo wa udukuzi tu wa mawasiliano
 
kwenye audio zile kwani amefanya kosa gani, kama yeye alikuwa anaamini anaongea ukweli, kosa lake nini? na, itakuwaje siku anatoa ushahidi akamwaga mboga kwa kufichua maovu waliyokuwa wanayafanya na ccm/viongozi? ataje kwa mfano wanawake aliokuwa anatafuta vigogo, I hope Tundu Lisu hatakuwa mbali, amchukua huyo jamaa ni strategic kwenye upinzani, kumtumia kufichua maovu kadhaa aliyoshuhudia. wambebe tu. lakini, kwani na yeye amesambaza hio audio? yeye alikuwa anaongea na mtu mwingine ndiye amesambaza. au wanamwita ili wakamkate asitoboe siri za wakubwa?
Utapata majibu yako baada ya mahojiano kukamilika.
 
Hivi hiyo audio nani aliivujisha? Nimeisikiliza ina mambo mazito.
Kuna ka shilawadu kamesema eti braza Mak ndiyo amecheza dili na stii ili kumpa doo Mak kuwachoma Mwigu na naa kwa anko maguu kwa kuwa eti hawa akina Mwigu na nap hawataki kumpigia salute!! In short anawaadhibu kwa kutokumtukuza wakati yeye ndiye ameketishwa kuume kwa baba!! And it's almost done!! Nimemwona Anko uchwara akipovuka huku anamwangalia nnap kwa pembe!! Oo kuna watu wanasema tunawaingilia! Sheria inaturuhusu! Kama hawataki wakae huko BUNGENI wabadilishe! Kumekucha
 
Nilimdharau Mbowe alipokwenda kufungua kesi eti asikamtwe na kupinga kuitwa hadharani.
Mbowe angekuwa kama Gwajima labda saa hizi tumeshasahau habari zake,lakini kuna nini kajificha mpaka kakamatwa kama yeye ni safi anaogopa nini polisi?
 
Clip inasema makonda kamtaja wema ili kumkomoa baada ya kumtaka wema kimapenzi naye wema kukataa so hasira zake ni bora kumkomesha kumpandikizia kesi na steve nyerere aliambiwa akae mbali na yy yaan makonda na ahame dar sasa najiuliza huyu ndo anafaa kuwa kiongozi wa wananchi??
 
Back
Top Bottom