Ukosefu wa elimu unawaangamiza hao wasanii, halafu wakati wanatumiwa kwa maslahi ya wanasiasa wao hawajitambui, si ajabu hata mkataba wa kazi walizofanya na chama wakati wa kampeni hawana, eti wanadai chama!! Yule shigongo kalialia humu wee mwisho wa siku alijipeleka mwenyewe yaliyofikiwa anajua yeye