Pamoja na makamu wa Raismawaziri waliotajwa kutaka kusaidia hili kinyume na taratibu nao waachie ngazi maana hawana usafi wa kuendelea kushikiria vyeo ivo
Na kwa nchi iliyojaa uhalifu kwa karibia serikali yote kila sehemu ni uozo basi chadema kitapata mtaji mkubwa sana wa wapiga kura....nchi ya wahalifu na serikali ya wahalifu....in juma pumba maharagwez voice.Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.
Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.
Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
Kula like 50!hii nchi inakera sana mkuu, tunao wategemea kutusaidia kumbe nao wana akili ndogo ivi, yaani haka kajamaa kanawafata na kuwapang katakavyo.
sasa kuna haja gani kuwa na mawaziri, uwaziri apewe steve tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.
Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.
Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
Ivi mtu akitoa, ushaidi kwamba unavuta Bangi, kifungo chake kinakuwa na muda gani. Mbona huyu Dada kesi yake mbichi sana.Wewe wasema. Jamaa akaeleza tu alikuwa anamaana gani kusema Wema hatumii unga ila bangi anavuta. Na yuko tayari kutoa ushahidi. Kama clip ni authentic, ajifunze kuweka akiba ya maneno. Yule binti mvua inamnyemelea.