Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Mbowe, Steven Nyerere mikononi mwa polisi

Akikamatwa Steve kuna aliyerekodi na kusambaza hao wote wameingilia faragha ya Mama Wema na Steve.
Pia tujifunze tukiwa tunaongea tusijimalize sana haswa kwenye mazungumzo ya simu.
 

Nadhani huyu Steve alitumwa na wauza nanii, ili kumchafua mpiganaji wa maunga.

Labda hawakutumia simu bali walifanya kama mchezo wa kuigiza kwa mubashara face to face alafu wakairusha eti ni walipigiana simu.

Lengo kuu ni kuvunja nguvu za vita vya maunga na mabange.

Samahani wakuu kama nakosea kudhani, sababu nachukia saaaana maulevi. Angalia inchi zingine zinawaua. Hila sisi tusifikirie huko.
 
Nje ya mada;
Nahisi kama vile Wema kaenda Chadema kwakua ile alama yao ni pozi zuri la kupigia picha.
Hata asipovaa sare akiweka tu vidole tutaelewa anamaanisha nini.

ccm ilikua haina ishara yao labda kama ungekua ukitembea ubebe jembe na nyundo, ukitaka kupigwa picha unavibeba ili kuwakilisha chama.
 
Labda wawe mawaziri wa Msumbiji siyo hayo ya kwetu yamekula rushwa ya Sh milioni 10 kila mbunge wa CCM itakuwa ni hiyo ?
hii nchi inakera sana mkuu, tunao wategemea kutusaidia kumbe nao wana akili ndogo ivi, yaani haka kajamaa kanawafata na kuwapang katakavyo.

sasa kuna haja gani kuwa na mawaziri, uwaziri apewe steve tu
 
Safi sana mapanzi yamemaliza shamba letu sasa yanaanza kupasuana yenyewe!! Ila najiuliza ikifika zamu ya Mwigulu kuingia chadema itakuwaje? Sijui itatulazimu kusahau ya Soweto arusha?
 
Akikamatwa Steve kuna aliyerekodi na kusambaza hao wote wameingilia faragha ya Mama Wema na Steve.
Pia tujifunze tukiwa tunaongea tusijimalize sana haswa kwenye mazungumzo ya simu.
Sauti ya Mama ilisikika vema, sijui ndipo palikokuwa na mic ya kurecord hako ka mchezo?
 
Back
Top Bottom