Na atawacost sanaaaa maana ni mropokaji mzuri Sana na bingwa wa kujipendekeza soon atamfata mwenzie huko alipoenda.Wakina Nape wanamwelewa sana!!
Nje ya mada;
Nahisi kama vile Wema kaenda Chadema kwakua ile alama yao ni pozi zuri la kupigia picha.
Hata asipovaa sare akiweka tu vidole tutaelewa anamaanisha nini.
ccm ilikua haina ishara yao labda kama ungekua ukitembea ubebe jembe na nyundo, ukitaka kupigwa picha unavibeba ili kuwakilisha chama.
Kama ni kweli amekamatwa ni vizuri kuna vitu vya msingi sana amevizungumza na hivyo vitu ni vya kutilia shaka kama hawa watu wanaoweza kushawishiwa na Steve wana weledi Wa kutosha kuwa kiongozi wetu.stive nyerere ana kesi ya kujibu,kawasingizia vigogo wakati hakwenda dodoma alikuwa dar ,alidhani anamplease mama wema kumbe anamuharibia
Thubutu, huenda akiriSafi sana mapanzi yamemaliza shamba letu sasa yanaanza kupasuana yenyewe!! Ila najiuliza ikifika zamu ya Mwigulu kuingia chadema itakuwaje? Sijui itatulazimu kusahau ya Soweto arusha?
Kuna ule msemo wa "mwenzako akinyolewa..." aliusahau kidogoNakumbuka wakati anaongelea UKUTA kwa kejeli,kiburi na dharau....Kweli dunia duara
Ukiwauliza wana CCM kuwa walipindua nini na kujiita Chama cha Mapinduzi? Hawana majibu.Ishara ya ccm ni [emoji106]
mawaziri waliotajwa kutaka kusaidia hili kinyume na taratibu nao waachie ngazi maana hawana usafi wa kuendelea kushikiria vyeo ivo
Kabisamakondo endelea tu kuivuruga ccm
Nani, Steve? Ama kweliNakumbuka wakati anaongelea UKUTA kwa kejeli,kiburi na dharau....Kweli dunia duara
audio inayo sambaakwa uthibitisho upi? Mkuu