masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
Salaam wana janvi?
Kunamekuwepo na majibizano mengi ndani ya mitandao ya kijamii kuhusiana na uchaguzi ndani ya chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) wengi wa wachangiaji wakidai ni vyema kufanya uchaguzi kwa sasa na wengine wakisema ni bora tubadilishe uongozi wa juu hasa wanachama wa chama cha mapinduzi (ccm) ndiyo wanaopigia kelele swala hili.
Ukiangalia kwa undani na kwa jicho pevu utagundua kuwa kuna mapinduzi baridi yanayotaka kufanywa na viongozi ndani ya chadema kwa maelekezo toka ccm ili kuuondoka uongozo wa ngazi ya taifa hasa slaa na mh mbowe, hawa ndiyo target kubwa kwani watu hawa wamekosanishwa kwa njia tofauti ila bado wamesimama imara, na hii imepelekea ccm kutumia kila aibu ya umafia kuwatoa hawa watu hapo walipo ili waweke viongoizi laini (soft leader) watakao fanya kazi kwa maelekezo ya ccm.
Sisi wanachama wa cdm hatutaki uchaguzi ndani ya chama ufanyike leo wala kesho bali ufanyike baada ya uchaguzi mkuu 2015 chakushangaza mashabiki na wanachama wa ccm wanataka chadema ifanye uchaguzi wa ndani na tena mh mbowe na slaa wasiogombee kwani vipindi vyao vimekwisha, hii sio tabia nzuri, cdm haiwezi kuwa sawa na ccm, nyie kama mnafanya uchaguzi wenu kila baada ya miezi 6 acha iwe hivyo kwenu ila kwa cdm haiko hivyo na hatutaki kufanana na ccm hata kiutendaji au kiuendeshaji wa taasisi hii.
Endapo uchaguzi utafanyika kwa sasa kuna hatari kubwa ya ccm kuingiza masalia yake ndani ya cdm, ambayo kwa sasa yameanza kujitokeza tena, nakiomba sana chama changu pendwa kisikie kilio chetu sisi wanachama hai kuwa hatutaki uchaguzi ndani ya chama chetu kwa sasa bali ufanyike mwaka 2015.
Mbowe, dr slaa, zitto tuvusheni salama na kama tutafika salama bs mtapumzika wakuu zetu tofauti na hapo mtatupoteza, mpeni zito kijiti baada ya uchaguzi wa 2014/15, tunataka tumtathimini kupitia chaguzi zote ili tumpe chama kikiwa kamili na sio vipande vipande kama wanavyotaka wanachama wa ccm:
Shabiki, mwanachama wa cdm pls paza sauti isikike kwa viongozi wetu hawa
Kunamekuwepo na majibizano mengi ndani ya mitandao ya kijamii kuhusiana na uchaguzi ndani ya chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) wengi wa wachangiaji wakidai ni vyema kufanya uchaguzi kwa sasa na wengine wakisema ni bora tubadilishe uongozi wa juu hasa wanachama wa chama cha mapinduzi (ccm) ndiyo wanaopigia kelele swala hili.
Ukiangalia kwa undani na kwa jicho pevu utagundua kuwa kuna mapinduzi baridi yanayotaka kufanywa na viongozi ndani ya chadema kwa maelekezo toka ccm ili kuuondoka uongozo wa ngazi ya taifa hasa slaa na mh mbowe, hawa ndiyo target kubwa kwani watu hawa wamekosanishwa kwa njia tofauti ila bado wamesimama imara, na hii imepelekea ccm kutumia kila aibu ya umafia kuwatoa hawa watu hapo walipo ili waweke viongoizi laini (soft leader) watakao fanya kazi kwa maelekezo ya ccm.
Sisi wanachama wa cdm hatutaki uchaguzi ndani ya chama ufanyike leo wala kesho bali ufanyike baada ya uchaguzi mkuu 2015 chakushangaza mashabiki na wanachama wa ccm wanataka chadema ifanye uchaguzi wa ndani na tena mh mbowe na slaa wasiogombee kwani vipindi vyao vimekwisha, hii sio tabia nzuri, cdm haiwezi kuwa sawa na ccm, nyie kama mnafanya uchaguzi wenu kila baada ya miezi 6 acha iwe hivyo kwenu ila kwa cdm haiko hivyo na hatutaki kufanana na ccm hata kiutendaji au kiuendeshaji wa taasisi hii.
Endapo uchaguzi utafanyika kwa sasa kuna hatari kubwa ya ccm kuingiza masalia yake ndani ya cdm, ambayo kwa sasa yameanza kujitokeza tena, nakiomba sana chama changu pendwa kisikie kilio chetu sisi wanachama hai kuwa hatutaki uchaguzi ndani ya chama chetu kwa sasa bali ufanyike mwaka 2015.
Mbowe, dr slaa, zitto tuvusheni salama na kama tutafika salama bs mtapumzika wakuu zetu tofauti na hapo mtatupoteza, mpeni zito kijiti baada ya uchaguzi wa 2014/15, tunataka tumtathimini kupitia chaguzi zote ili tumpe chama kikiwa kamili na sio vipande vipande kama wanavyotaka wanachama wa ccm:
Shabiki, mwanachama wa cdm pls paza sauti isikike kwa viongozi wetu hawa