Mbowe sio yule tuliyemzoea

Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Na bado.Atawaliza wale wanaodhani ni mwenzao.Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Empty kuliko wewe, no one shalll be condemed guilt until proved by compitent court. We ropo ropo unajua hilo..
Mlivyokuwa mnawataja mafisadi kwenye "list of shame" uliona sahihi? Au ulikiwa hata hujaota meno, funza brain
 
Mpuuzi wewe, akina Cecil Mwambe, Ester wote wawili, Heche, Lema, Msigwa, Lijua Likali etc wamekamatwa kwenye majimbo yao wakifanya mikutano na wapiga kura wao. Hapo utasemaje bwege wewe.

Mbowe kama si tishio na Chama chake!! Bunduki na marufuku za nini?! Huyo anayejitahidi kupiga siasa pekee yake mbona ndiyo hajiamini!!
Unataka kumtukana rais matusi ya nguoni ,unataka kuhutubia mpaka saa moja usiku we nani usikamatwe tii sheria bila shurti!
 
Hata hakueleweka pale alikua anaongea lugha gani

Mwambieni ras simba kasema usipojua anakurudishia pesa kama anaogopa kisa serikali inabana matumizi
Kama mwenyeji wake alimuelewa inatosha alikua akiongea na waganda kizungu masaa 24 si nyinyi huku udaku masaa 24 hamuwezi muelewa!
 
Upuuzi mtupu najiulizaga sh ngapi mnalipwa mpaka unaandika kitu hata ubongo wako sidhani kama unasadifu... shame
 
Mku Mimi ni mwanaccm nisiyepepesa macho juu ya ukweli tusilishane Nyama ya Kasa mwenye sumu. Mbowe ndio mwenyekiti bora Tanzania na hilo halipingiki ndo maana yaliandaliwa majaribio mengi juu yake mwisho tuliuona pale Msajili aliyekuwa anasimamia hilo jaribio alikosa mvuto baada ya kususwa na Chadema ikabidi JK amwondoe ktk nafasi ile.
Mbowe ni mwanasiasa mahiri asiyeyumbishwa na siasa ambazo aliyevaa hawezi kuzishiriki kwani ni faida ya muda mfupi kwa wachache walioko nyuma ya hili zoezi la kutugawa
Nakubaliana na wee mkuu,, mikiki anayopata mbowe kama si jasiri angekua kama bwana yule au akina momose.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom