mshaelekea kibla!MTU mwenye akili timamu hawezi kutafakari mambo kwa mazowea bali huyatazama na kuyatafakari mambo kiyakinifu.Nashangaa kusikia mtu eti Mbowe si yule tuliyemzowea!Hee mtu mzima unatumia mazowea?Halafu unataka kuambukiza na wengine upumbavu wako?Acha dhana ya mazowea.
Nendeni mahakamani!Katiba ya nchi inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano popote nchini ili mradi sheria za nchi hazivunjwi.
kwani mbowre amepondwa hapa punguza mahaba niue!Shule inaumuhimu mkubwa sana inaweza kukusaidia kupambanua mambo kwa uelewa mkubwa sana
Je kama hyo hoja isingeletwa ungeongea nn na je kwa kipindi cha miaka mingapi hoja yako ilkuwepo
Nadhani ni bora ungeandaa makala ya kumsifu mwenyekiti wako wanachama wenzio wangeona wamepata kada mwenye upeo mkubwa
Kumponda mbowe hakukuongezei CV ndani ya chama chako
Jipange
Kwani Mashinji yuko wapi?Hivi Kanali Abdulhamani Tembo Kinana yupo wapi ??
Ushauri wa slaa ulikua wa maana sana wametoa choo nje wameingiza chumbani!Kuna watu watakunywa chupa
Hivi ata ukiruhusiwa mikutano ina tisho ganiKama Mbowe angekuwa siyo tishio kwa chama cha mauaji(CCM), mikutano ya hadhara isingezuiliwa na Mwenyekiti wenu.
Unachokileta hapa ni kutafuta faraja tuuu.
Jamani kuna hoja kinzani? Dictator mbaya na mchafu kuliko wote Africa mashariki ni yule ambaye hata kusafiri anaogopa kivuli!! Muoga wa kwanza AfricaNajaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Wewe in nani nchi hii mbwiga kabisa wewe. Chadema haikuhusu uchungu wa nn?Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe
acha ujinga we ni lumumbamimi ni mmoja kati ya wafuasi wa upinzani ninaemkubali mbowe kuliko wanasiasa wote.
tatizo la mbowe ni moja tuu anabadilika kama kinyonga
Bilicanas kuvunjwa.Mpaka muda yupo kwake na hajakamatwa halafu mnaongopewa nchi inaongozwa kidikteta!
Kwa mtizamo wako ni dhahiri mwanasiasa unayemkubali ni Mzee Lipumba.Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Naona MNAJIFARIJI buku 7Mbowe chama kimemshinda usaliti aliowafanyia CHADEMA wa kukubali kuhongwa na Lowasa bilioni 10 hawatamsamehe
Unazungumzia mahakama mnazomiliki nyie au unasemea mahakama gani?Nendeni mahakamani!
Hizo unazozijua wewe!Unazungumzia mahakama mnazomiliki nyie au unasemea mahakama gani?
Kadhia hiyo haijamkuta pekee!Bilicanas kuvunjwa.
Shamba lake kuvurugwa
Tuhuma za dawa za kulevya.
Kodi za TRA.
Unaonaje apo?