Mbowe sio yule tuliyemzoea

Mbowe sio yule tuliyemzoea

Pale ambapo Naibu waziri wa habari na kufungia magezeti anafunguka!!! Acha tu!
Ukweli ni kwamba Mbowe ameingiwa na Woga!! Anahofu akifuatwa na noah atasalimika kama mwenzake? Hilo la Lowasa muulize rahisi aliyeunda mahakama ya mafisadi asiowaweza kwa kuwa huwezi kata tawi ulilokalia
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,

mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,

Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!

Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Ni lini ulisha mzoea... ??
 
Ukitaka kujua ugumu wa kuendesha vyama vya siasa mwulize ZZK. Ayakueleza. Kwani alipokuwa chadema na kutaka kumpindua Mbowe alidhani ni lelemama. Sasa wako wapi ACT mbona wamesambaratika? Wamewaweka ccm madarakani sasa hivi anataka apeleke vibaraka wake UKAWA kwa madai kuwa amebadilika ili kuisambaratisha chadema.
Natumaini Mbowe hatakubali udanganyifu huo.
 
Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Mpuuzi wewe, akina Cecil Mwambe, Ester wote wawili, Heche, Lema, Msigwa, Lijua Likali etc wamekamatwa kwenye majimbo yao wakifanya mikutano na wapiga kura wao. Hapo utasemaje bwege wewe.

Mbowe kama si tishio na Chama chake!! Bunduki na marufuku za nini?! Huyo anayejitahidi kupiga siasa pekee yake mbona ndiyo hajiamini!!
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,

mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,

Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!

Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Hata kama ni kulipwa, Polepole hawezi kuidhinisha malipo katika upuuzi kama huu!
 
Mpaka muda yupo kwake na hajakamatwa halafu mnaongopewa nchi inaongozwa kidikteta!
Kwa alivyochemsha Uganda, yabidi akashauriane kwanza na akina DAB Malyamungu, Afande Zero kupanga cha kufanya ili pia kupambana na hitaji la wananchi la katiba mpya.
 
Sema nashangaa kwanini kamanda siro anawaruhusu hawa wahuni kufanya kampeni za kihuni kutukana serikali badala ya kujenga hoja za maendeleo, kwa nini wasichambue sera zao? Mbona CCM tunajinadi kwa sera wao kwa nini utasikia eti serikali inatuminya uhuru?? Mbona ndani ya hilo li chama mfu lake mbowe mtu akisema Mbowe dikiteta anafukuzwa uanachama
Sera zipi? Kukanyaga haki za binadamu?
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Jemedari ameshaloose confidence, kichobaki yeye na kikosi chake wanasubiri kuwa mateka.
 
Kwahiyo mlivyokuwa mnawaita mafisadi kipindikile walikuwa na kesi yoyote? Empty brains!
Empty kuliko wewe, no one shalll be condemed guilt until proved by compitent court. We ropo ropo unajua hilo..
 
Back
Top Bottom