Tuwekee videos kama za Nassari. Nna uhakika za kwako watazifanyia kazi sio kama zile za Nassari wamezitupilia kapunihongo ya billion kumi haijawah muacha mtu salama
Tuwekee videos kama za Nassari. Nna uhakika za kwako watazifanyia kazi sio kama zile za Nassari wamezitupilia kapunihongo ya billion kumi haijawah muacha mtu salama
Katiba ya nchi inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano popote nchini ili mradi sheria za nchi hazivunjwi.Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Jina la mtu linaanza na herufi kubwa.Sema nashangaa kwanini kamanda siro anawaruhusu hawa wahuni kufanya kampeni za kihuni kutukana serikali badala ya kujenga hoja za maendeleo, kwa nini wasichambue sera zao? Mbona CCM tunajinadi kwa sera wao kwa nini utasikia eti serikali inatuminya uhuru?? Mbona ndani ya hilo li chama mfu lake mbowe mtu akisema Mbowe dikiteta anafukuzwa uanachama
Mbowe anayesemwa kapooza na ni muoga na hawa mavuvuzela jana aliuwasha moto akifungua kampeni Saranga.
Nyomi ile uliiona?Nimeona video moja ya ubungo, Mbowe alikuwa ana wasi wasi na mda haina mfano, alikuwa anaogopa kupitiliza mda aliopangiwa na waliompa ruhusa ya kuongea tofauti na enzi zile.
Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini![/QUOTE Sheria ipi kiongozi inasema jimboni kwako ruksa
Mbowe chama kimemshinda usaliti aliowafanyia CHADEMA wa kukubali kuhongwa na Lowasa bilioni 10 hawatamsamehe
Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Nyomi ilikuwa ya maana.Nyomi ile uliiona?
Kodi yako inawalipa TAKUKURU ili wafanye nn?hongo ya billion kumi haijawah muacha mtu salama
Kama kweli kuna aliepotezwa na wapinzani nafasi ya kujificha isingekuwepo lzm abgejulikana na taarifa zote kuwekwa hadharani. mm siamini kuwa waliopotea wamepotezwa tena na wapibzaniHatari kubwa wasaidizi wakihoji wanapotezwa kwa kuisingizia serikali!
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Hahahha juzi sikua sijaota meno .. acha kuandika kwa kutumia makalio wewe. yaani nyinyi ndio think tank ya ccm hapa jf? kazi ipo kweli.Mlivyokuwa mnawataja mafisadi kwenye "list of shame" uliona sahihi? Au ulikiwa hata hujaota meno, funza brain
Nilicheka sana siku nilipoambiwa kuwa ww ni jike,kumbe kipara ni 0 brn, ooh nimezisamehe post zako zote.Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM