Mbowe sio yule tuliyemzoea

Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Katiba ya nchi inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano popote nchini ili mradi sheria za nchi hazivunjwi.
 
Sema nashangaa kwanini kamanda siro anawaruhusu hawa wahuni kufanya kampeni za kihuni kutukana serikali badala ya kujenga hoja za maendeleo, kwa nini wasichambue sera zao? Mbona CCM tunajinadi kwa sera wao kwa nini utasikia eti serikali inatuminya uhuru?? Mbona ndani ya hilo li chama mfu lake mbowe mtu akisema Mbowe dikiteta anafukuzwa uanachama
Jina la mtu linaanza na herufi kubwa.
 
watoa ahadi wapo kibao hivyo kutotimiza ahadi isiwe tatizo mbona zile sh 50 mil kila kjj mpaka leo tunasubiri na hao wanaosubiri dola waendelee tu huwezi jua huko tuendako huenda ikapatikana.
 
Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!

Shule inaumuhimu mkubwa sana inaweza kukusaidia kupambanua mambo kwa uelewa mkubwa sana
Je kama hyo hoja isingeletwa ungeongea nn na je kwa kipindi cha miaka mingapi hoja yako ilkuwepo

Nadhani ni bora ungeandaa makala ya kumsifu mwenyekiti wako wanachama wenzio wangeona wamepata kada mwenye upeo mkubwa

Kumponda mbowe hakukuongezei CV ndani ya chama chako

Jipange
 
MTU mwenye akili timamu hawezi kutafakari mambo kwa mazowea bali huyatazama na kuyatafakari mambo kiyakinifu.Nashangaa kusikia mtu eti Mbowe si yule tuliyemzowea!Hee mtu mzima unatumia mazowea?Halafu unataka kuambukiza na wengine upumbavu wako?Acha dhana ya mazowea.
 
Hatari kubwa wasaidizi wakihoji wanapotezwa kwa kuisingizia serikali!
Kama kweli kuna aliepotezwa na wapinzani nafasi ya kujificha isingekuwepo lzm abgejulikana na taarifa zote kuwekwa hadharani. mm siamini kuwa waliopotea wamepotezwa tena na wapibzani
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM

Huwa hakurupukii mambo!!!!!!!!!!!!
 
Mlivyokuwa mnawataja mafisadi kwenye "list of shame" uliona sahihi? Au ulikiwa hata hujaota meno, funza brain
Hahahha juzi sikua sijaota meno .. acha kuandika kwa kutumia makalio wewe. yaani nyinyi ndio think tank ya ccm hapa jf? kazi ipo kweli.
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Nilicheka sana siku nilipoambiwa kuwa ww ni jike,kumbe kipara ni 0 brn, ooh nimezisamehe post zako zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom