Mbowe sio yule tuliyemzoea

Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Bange tu zinakusumbua
 
Freeman tunayemjua sisi, ni yule yule asiyependa damu ya mfuasi wake kumwagika kwa ajili ya madaraka. Kumbuka wakati Dr. Slaa alipotaka kukataa matokeo, Freeman alimwambia atulize munkar . wewe mleta mada unataka afanyeje , aruhusu vijana waigie mitaani halafu waumizwe na polisi?. Acha kupanda uchochezi wako kwenye chama cha wastaarabu.(CDM),.Freeman ni mstaarabu ndiyo maana unaona chama kinapendwa nchini kote.Hatutaki vijana wetu waumizwe .Freeman kijana wa mzee Akael endeleza ustaarabu , wewe ni msataarabu, huyu alieandika Uzi huu, ni adui mkubwa wa Chadema.
 
Propaganda za bashite Utacheka kweli unataka ukuta na hiyo mioyo ya plastic mutaweza shughuli yake
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM

Mbowe uliyemzoelea wapi? Ina maana wewe umemzoea Mbowe kuliko Dr. Lilian? Wacheni umbwiga nyie misukule wa ccm
 
Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,

Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.

Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.

Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.

Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.

Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.

Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Nyie ndo magufuli anawatukana pumbafuu...mtu aliyekosa kujiamini ungepoteza muda wako kumjadili hapa?
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom