kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,344
- 14,815
- Thread starter
- #21
Dola ni ya chama gani hata wewe ni mwananchi wa ccm tu!Kwani Polisi ni tawi la Ccm mpaka wamkamate Kaiponda Ccm na Mwenyekiti wa Ccm sasa Polisi unawaingizaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola ni ya chama gani hata wewe ni mwananchi wa ccm tu!Kwani Polisi ni tawi la Ccm mpaka wamkamate Kaiponda Ccm na Mwenyekiti wa Ccm sasa Polisi unawaingizaje
Na kama chama hakijapata mbunge?Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Mjinga utapoelimika ntakujibu buku 3 Leo mnatumiwa?Dola ni ya chama gani hata wewe ni mwananchi wa ccm tu!
Umemshambulia sana Mbowe, acha nikuzawadie comedy hii uburudike kidogoAnajaribu kukipiga chama vanish kiukweli kilishajifia kitambo!
Wezi wa twiga wa nini?Bunduki ya nini ??
eti chama kimedumaa? are you serious?Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,
mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,
Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!
Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Tulia uandike.Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,
mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,
Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!
Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Yaani sasa hivi wezi wote wameshajua, ukiiba sana maadam hujakamatwa, kimbilia kwa Mbowe, siku hiyo hiyo unageuzwa malaika!!Atatoa wapi ujasiri wakati kageuza chama kuwa "safe haven" ya mafisadi? Shame
Tuwekee kale kapicha ka Nyalandu na Twiga, Wazungu, na kale ka kumshika makalio askari wa kike wa wanyamapori, ambatanisha na ile clip maarufu ya Mhe Nasari alivyomlaani pale bungeni.Tuwekee kapicha basi tuone alivyo hongwa izo milioni kumi.
Freeman Mbowe: Rais Magufuli anaongoza nchi kidikteta, wananchi msiogope kusema ukweliSema nashangaa kwanini kamanda siro anawaruhusu hawa wahuni kufanya kampeni za kihuni kutukana serikali badala ya kujenga hoja za maendeleo, kwa nini wasichambue sera zao? Mbona CCM tunajinadi kwa sera wao kwa nini utasikia eti serikali inatuminya uhuru?? Mbona ndani ya hilo li chama mfu lake mbowe mtu akisema Mbowe dikiteta anafukuzwa uanachama
Hivi Kanali Abdulhamani Tembo Kinana yupo wapi ??Wezi wa twiga wa nini?
Mbona matumizi ya SMG yaongezeka?Atatoa wapi ujasiri wakati kageuza chama kuwa "safe haven" ya mafisadi? Shame
Kabidhi vielelezo polisi ili akamatwe. Huna acha ngojera za watoto wa chekechea.Hatari kubwa wasaidizi wakihoji wanapotezwa kwa kuisingizia serikali!