Mbowe: Sidaiwi hata senti NHC

Mbowe: Sidaiwi hata senti NHC

Hakuna matata, aweke copy za risiti kuonyesha malipo hata ikiwa magazine atoe tu kueleweka.
Kwanini anae mdai asitoe risiti ya mwisho .......tungoje mahakama basi...
 
Kwangu mimi madai ya Mbowe kukarabati lile jengo mwaka 1993 kwa TZS 1.3b ni ushahidi tosha kuwa alikuwa anafanya ujanja ujanja katika mkataba huo na NHC kwa kushirikiana na baadhi ya watu toka serikalini/NHC.
Peleka policcm
 
Vp kuhusu WIZARA ZINAZODAIWA ilhali kodi wananchi tunalipa. Tena bn 2.?zenyewe siyo STORY ila Mbowe. Ally choki alishasema CHUKI BINAFSI HAIFAI.
Kwani hujasikia wamepewa muda walipe? Mbowe alipewa wiki tatu na NHC
 
Poleni sana ny........ maana madili yameisha. Asingeguswa huyo kama sio JPM kushika madaraka. Hana amani kabisa huyo kwa sasa. Tumuombee Rais wetu Mungu amlinde maana nchi ilikuwa ikitafunwa kila kona hata washereheshaji wa Upinzani kumbe nao wamo tena vigogo.
 
Wewe ni mahakama?


Mkuu
Mimi si mahakama. Lakini nina haki ya kupata habari na kuitafakari kutoka kwenye vyombo vya habari.
Vinginevyo hakuna haja kwa Mh. Mbowe kuelezea kadhia yake kwenye vyombo vya habari.
 
Mbowe atashinda kesi na itakuwa kashfa kubwa sana kwa CCM.
atashinda we hakimu?anadaiwa na ccm au nhc?kama hadaiwi ametupiwa vitu nje si aonyeshe receipt alizolipia?ili arudishiwe vitu ndani?asitafute huruma ya chama chake alipe tu kodi hayo hayahusiani na vyama ni mambo yake binafsi!
 
Huo mkataba upo wapi. Ulete hapa tuusome. Huyo mbowe ni tapeli wa kisiasa. Hakuna huo mkataba mbowe anawadanganya. Anatakiwa alipe deni aache utapeli umepitwa na wakati. Na ujue mbowe anaelekea kuzeeka. Anatakiwa aachane kabisa na utapeli azeeke vyema.
Endelea kuota ndoto zako za Al Nacha. Ukigutuka usingizini utamkuta Mbowe yupo juu na wewe bado unatapa tapa kwenye umasikini wako ulio komaa mifupani mwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom