Mh. Mbowe
Ni vyema ungetoa uthibitisho wa nyaraka kwenye gazeti. Ili uthibitishe kauli yako.
Hivi uliona wapi Mali ya umma ikatwaliwa na mtu binafsi bila nyaraka zozote.
Thamini muda wa watu unapotoa taarifa kama hizo kwa kuto kuhangaika kusoma habari zisizo kuwa thabiti.
Vinginevyo unatafuta huruma kwa wananchi ukiwa una fahamu ukweli.
Ni vyema ungetoa uthibitisho wa nyaraka kwenye gazeti. Ili uthibitishe kauli yako.
Hivi uliona wapi Mali ya umma ikatwaliwa na mtu binafsi bila nyaraka zozote.
Thamini muda wa watu unapotoa taarifa kama hizo kwa kuto kuhangaika kusoma habari zisizo kuwa thabiti.
Vinginevyo unatafuta huruma kwa wananchi ukiwa una fahamu ukweli.