:glasses-nerdy:Leo ndo mnashtuka eeeeeh! Hamjui kuwa Mbowe ni mfanya biashara kupitia Siasa? Anatafuta kupewa dhamana kubwa katika Taifa hili, lakini tuhuma za kupewa bilioni 3 na Lowassa, kuingiziwa ktk akaunti yake binafsi fedha za Chama na kuzihamisha fedha kwa ujanja ujanja hataki kujibu, kwa nini anapotezea wakati zinamchafua? mbaya zaidi waliotoa tuhuma hizo waliweka wazi kuwa akibisha watatoa ushahidi!! mbowe yupo kimyaaaa! Mbowe kwa nini akae kimya kwa tuhuma hizo? hata kama anazizadharau sisi wengine zinatusumbua. Au Mbowe anatuona Watanzania wote anaotarajia kutuongoza endapo Chama chake kitashinda ni VIAZI / VILAZA?. NATAFUTA CHAMA CHENYE NIA YA DHATI KUWAKOMBOA WATANZANIA CHENYE VIONGOZI NA SIYO WAFANYA BIASHARA KUPITIA SIASA.