MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU
Ulituma shiling ngapi na kwa njia gani we dada jaman tupe details tukurudishi taja na kiasi ulichochotuma usitake kuwafanya watanzania wazalendo kuwa na akili kama zako na wagombea wako.
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Mbowe na kupiga hela si rahis akarudisha.
kaka umejiunga tarehe 27 September 2015. Hongera sana . Unachokidai ni haki na wajibu wako na unatakiwa kufanya hivyo kuna njia ya kuandika barua au kwenda pale ofisii kwao na kudai taarifa natumaini watakuwa information ambazo siyo classified.Nakumbuka mimi nilikuwa kama wewe ila nashukuru niliandikaga barua na kwenda ofisi ya halmashauri kuomba habari nilipewa na nina amini huwa tunalalamika bila kutoa usahihi na kutafuta wenyewe kwanza.
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Weka humu audited Financial Statement ya CCM.
CCM ni wezi sana, hivi unajua kifo cha baba wa taifa Nyerere kina utata?Sokoine naye kifo chake cha wasiwasi,Komba aliposema tu anamtaka Lowassa kuwa rais hajavuta muda kafariki...........................................Watanzania nchi yetu ni ya kidemokrasia fanyeni maamuzi magumu kuwaondoa CCM vinginevyo mtabaki kulalama kumbe mchawi wenu ni ninyi wenyewe