Mbowe rudisha hela zetu

Mbowe rudisha hela zetu

Kuna majambazi yamekusanyika pale kwenye poli la kijiji cha ukawa yanataka usiku yanataka kufanya uhalifu
 
Mbowe hawezi kurudisha hizo hela,acheni kulalamika,cha kufanya ninyi mshaurini aanzishe tena harambee
 
Mbowe hawezi kurudisha hizo hela,acheni kulalamika,cha kufanya ninyi mshaurini aanzishe tena harambee

Ipo mkuu inakuja
Wanaiita opereshen funga kampen
Kuelekea mabadiliko

Jmn neno mabadiliko limetajirisha sana watu

Makamanda wenzangu tusiwe mazuzu namna hio
Hata kama viongoz wetu wanatumia nguvu za giza ili watutawale
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Mbona hujauliza pesa za kampeni za ccm wanatoa wapi na ni za Nani?

Mbona hujatuambia wamekulipa shilingi ngapi kuandika ujinga huu?

Kawaambie waliokutuma na kukulipa sisi sio wapumbavu na malofa.

Mabadiliko kwa saana.
 
Hivi naomba kuuleza,hakuna utaratibu wa kisheria juu ya hizo helaa?Kuna yule jamaa alikuwa Mc hakihamasisha watu yule,vipi hatuwezi muuliza?anaweza kuwa anajua lakini?ni wazo tuuu lakini katika harakat za madai
 
Hivi naomba kuuleza,hakuna utaratibu wa kisheria juu ya hizo helaa?Kuna yule jamaa alikuwa Mc hakihamasisha watu yule,vipi hatuwezi muuliza?anaweza kuwa anajua lakini?ni wazo tuuu lakini katika harakat za madai

Mc, mbowe na lowasa lao n moja tu
Kupiga Dili kwanza

Mwenzao magufuli anasema hapa kazi tu

Wao wanasema hapa Dili kwanza
 
kumbe hata magamba walichangia mabadiliko ok tuambie ulitoa shing ngapi? na ulete data tukurudishie fedha yako mana tumegundua ni kama kutakatisha fedha haram

0755 445878

Madava Mpenda/mabadiliko
 
Wangeitisha michango tena tutoe watu tumechoka na ccm
 
Ukiwa mashabiki ni bubu, hakuna wa kuuliza

Unamdai Mchaga pesa Yesu na Maria!! Wewe ndio Simbilisii kweli Yaani yeye atoke Machame kuja mjini kutafuta pesa wewe unadai? Kwanza unatakiwa utoe pesa nyingine haraka maana huna asili ya kukaa na pesa peleka kwa Mbowe haraka mwenye asili ya mapesa
 
Mbowe mtoto wa mjini yule kaka,atawaburuza sana Wana Ukawa
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Umeshtuka wewe na ccm yako siyo sisi ukawa ulilazimishwa? wewe ndo hamnazo kweli kweli. ishia huko na pumba zako huna hata haya,
 
Ccm ndio wanamujua zaidi,Ana wahenyesha ila mbaya,hakuna cha Dr wala professor,wote wamfikilia mbowe tu.
 
Hii Jamii Forum sasa inazidi kushuka daraja!!Mtu mmoja anakuwa anajiuliza na kujijibu karibu ukurasa mzima!Kama anamdai Mbowe si amfuate huko aliko.Maana hoja za msingi na zenye ukweli huwa hazikai,na zinapewa jina HOJA CHOCHEZI! Sasa huo mchango wa hiari aidiaje kutatua matatizo yetu kama jamii? Ndiyo maana tunatukanwa kuwa sisi ni WAPUMBAVU NA MALOFA kwa sababu ya watu kama hawa!unatus
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Tuthibitishie kama ulichangia halafu ndio uje kudai hiyo ela yako.
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
 
Back
Top Bottom