Tunaapa hatuchangi tena, hiyo ni saccos ya watu wawiliMi naomba mnikumbushe ile acc namba ya chadema,ili nichangie zingine tena😜
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Mbowe uchaguzi unakaribia,hela ulizokusanya mpaka sasa hatujajua ulipata kiasi gani na umetumiaje?Tunaomba kama kazi hiyo imekushinda basi turudishie michango yetu,wananchi tumejinyima kuwachangia ila tunaona wanaonufaika ni wachache tu
Duuuuuhhhh������
Mbowe mwizi tu
Mbowe rudisha hela zetu
Hela gani hizo za kuchangisha hata mahesabu hakuna bhana,poleni mliochanga
Aturudishie hela zetu
Ukiwa bana mnatapatapa sana
Arudishe kweli
Khaa!! Waache bana mmoja mmoja anafunguliwa kwenye paketi anatumiwa kisha anatupwa jalalani. Ndiyo maisha waliyochaguaJamaa unautumia huu mwanya wa vijana kudai wameichoka ccm vizuri saana aisee! na hakuna wa kuhoji! ukihoji msaliti mpinga mabadiliko! alianza kidogo kidogo,
1.Ondoa Chacha wangwe
2.Ondoa zito na wenzake.
3.Honga cuf nafasi za uwaziri kivuli bungeni kuunda ukawa
4.Kusanya michango kwa M4C bila kuhojiwa
5.Uza chadema
6.Ondoa Dr Slaa
7........
8........
Na sasa anaendelea kula bata tu kwa kivuli cha vijana eti wameichoka ccm, mpaka waje kustuka kwamba wanatumika kwa maslahi ya wachache itakuwa too late!
Hata sisi wazalendo tumedai hatujapewa majibu
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Kama hujui kile chama ni cha ukoo,mbowe ni mkwe wa mtei!So jamaa ndani ya chama anauwezo wa kufanya lolote analoamua na hakuna anaempiga,ukinyanyua tu mdomo,unatolewa ndani ya chama