Kama unamdai nenda mahakamani
Jamaa unautumia huu mwanya wa vijana kudai wameichoka ccm vizuri saana aisee! na hakuna wa kuhoji! ukihoji msaliti mpinga mabadiliko! alianza kidogo kidogo,
1.Ondoa Chacha wangwe
2.Ondoa zito na wenzake.
3.Honga cuf nafasi za uwaziri kivuli bungeni kuunda ukawa
4.Kusanya michango kwa M4C bila kuhojiwa
5.Uza chadema
6.Ondoa Dr Slaa
7........
8........
Na sasa anaendelea kula bata tu kwa kivuli cha vijana eti wameichoka ccm, mpaka waje kustuka kwamba wanatumika kwa maslahi ya wachache itakuwa too late!
njaa yako inahusiana vipi na mbowe ?MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Na tar 10 hapa jamaa atapiga harambee tena,manina walahi,nataman nami nianzishe chama,maana hela nje nje tuu
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Makamanda tumepigwa hapa chali