Mbowe rudisha hela zetu

Mbowe rudisha hela zetu

MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Sasa we mwana CCM ilikuwaje ukachangia ukawa?au unadhani atukufamu?
 
mbowe rudisha hela zetu:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!mbowe kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!watanzania tumeshtuka



kiendacho kwa mganga hakirudi....wajinga ndio waliwao
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Nitumie akaunt namba yako nikurudishie!
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Na nyinyi UVCCM jaribuni kuchangisha kama mtapata hata laki raua wanahasira na nyinyi mdione wanahudhuria fiesta zenu
 
Umeshaona dalili zote za kushindwa.
Kwani kama angeshinda mngemdai?
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Nyie wana ukawa
endeleen kudai pesa sasa muone kama hamjaitwa wasaliti sasa hivi

Chezea mbowe ww
 
Twaweza nilikubaliana nao kwenye kipengele kimoja kwa 100% kuwa vijana wanao unga ccm mkono ni mazuzu!!!
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Kama ulichangia hurudishiwi labda kama ulikopesha, lkn wapiga dili wamekuchangisha na ww umechangia, hawa wanahela za richmond haziishi kamwe. Wanafanya usanii wa kujichangisha waonekane wameishiwa, hawa niwakuanza kampeni bila hela ya uchaguzi, unapoambiwa fisadi papa ww huelewi maana yake kabisaa? Pole ndugu yangu.
 
hakuna mwana ukawa anaepoteza muda wa kudai hela kwa Mboe,hawa ni wanafiki ccm wanao jitekenya na kucheka wenyewe,ndo wanajifanya kupost,nakyjidai ukawa,mbinu zenu ni za kizamani sana nyie.
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Ukiwa mashabiki ni bubu, hakuna wa kuuliza
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
ww sio UKAWA bibi, acha kujishaua.
 
Dah! kumbe hii michango ni mradi wa watu fulani hivi! hairuhusiwi hata kuhoji mapato na matumizi!! Hii kali.

Ukihoji mapato ndan ya chadema kuna option tatu
1. lazima utafute ACT yako kabisa kama ZITO

2. au utafute sehem ya tofaut na hapa dunian kama CHacha wangwe

3.uwe neutral kama dkt SLAA
na uwe unakaa nje ya nchi sana
Lasivyo watakupeleka kwenye option ya pili
 
Back
Top Bottom