Mbowe ni mkanda na mkabila, hafai kuwa kiongozi hata kiduchu. Watanzania wamkatae na CHADEMA yake

Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anyefikilia masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Tungekuwa tunachukia ubaguzi, wa kwanza tuliyetakiwa kumtupia mawe ni Magufuli.

Watu wapate maendeleo kwa jitihada zao na siyo kwa upendeleo. Hata upendelee namna gani, kama watu hawana elimu inayowapa mwamko wa kutafuta maendeleo ni kazi bure.

Magufuli aliipendelea sana Chato, je Chato imekuwa bora kuliko Mwanza, Moshi, Arusha, Iringa au Njombe?

Kilishikamanisha Taifa baada ya uharibifu alioufanya Magufuli, ni lazima uovu wote kama ule alioufanya wazi na kwa kificho, ni usemwe.

"Kipindi hiki wenzetu wa Kaskazini wasubiri kwanza" - Magufuli.

"Sitapeleka maendeleo majimbo yanayoongozwa na wapinzani. Hata mzazi huwezi kumpa chakula mtoto wa jirani kabla ya wa kwako" - Magufuli. Cha ajabu, kodi alichukua kote, lakini anasema maeneo mengine hatapeleka huduma za maendeleo.

Magufuli alikuwa kiongozi mbaguzi aliyejaa uovu wa aina mbalimbali. Tunamshukuru Mungu, kwa kulipa Taifa letu nafasi ya wananchi wake kuwa huru tena. Leo hakuna hofu ya kutekwa, kuuawa, kupotezwa wala kubambikiwa kesi. Tunamshukuru Mungu, siyo kwa kifo cha Magufuli, bali kwa kuliondia Taifa kutoka kwenye mateso.

Fikiria haya ni maneno ya Rais. Ni vigumu kuamini kama tulikuwa na Rais ambaye alikuwa mzima. Kauli ya Dialo kuwa marehemu alikuwa na tatizo la afya ya akili, inapata nguvu sana, ukikumbuka kauli kama hizi.
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anyefikilia masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
tukiongea fairly, mbowe na chadema ni wakanda na wakabila kabisa, na pia kuna elements za udini. hicho sio chama sahihi kuongoza nchi.
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anyefikilia masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.

E527A5C4-02AA-41A0-87FD-68D2D17903DC.jpeg
 
Kama anamzidi Magufuli basi hafai kabisa...
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anyefikilia masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anyefikilia masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Mtu akienda kwao na kipokelewa na wakwao anakuwa mkabila! Wengine wanajipendelea kabisa kwa kujiwekea miundombinu wala hakuna anaesema.
 
Mbowe anaongea na watu wa Kilimanjaro na Arusha! Wewe upo Dar unajuaje kinachoendelea kule …. Hili ndiyo tatizo letu tunakaa Dar na kujiaminisha ndiyo Tanzania 🇹🇿 Lakini ukweli ndiyo huo
Mkuu akiwa huko kwenu mtu wa Dar hawezi kupata taarifa?
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Nilimsikia juzi huko wilayani akisema kwamba Magufuri aliwatesa sana watu wa Arusha na Kilimanjaro. Lakini hakufafanua kwamba waliteswa vipi. Hizi ni kweli ni dalili za ukaenda.
 
Mkuu akiwa huko kwenu mtu wa Dar hawezi kupata taarifa?

Kama una taarifa basi ungekubaliana na huo ukweli wa dhuluma na unyanyasaji mwingi wa watu wa kaskazini wakati wa Magu. Magu tatizo lake alikuwa ana wivu sana na kujishindanisha. Kubadilisha watu sio serikali pekee inabidi ubadilishe fikra
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
kabisa.
Peleka ujinga wako Kolomije/Chatto
Unadhani hayati Uchwara alipopeleka hazina ya nchi kwao mahali hakuna faida yoyote na nchi alikuwa anafanya sawa.
Waliokutangulia ndio wameshakuzidi huwezi kuwainua Wagagagigikoko wako kwa kuwakandamiza waliokuzidi.
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Nani kakudanganya kuwa anautaka uongozi zaidi ya alionao???.
 
Mshenzi sana wewe, magufuli alipotamka wacha wasubiri, wakavunjiwa nyumba, wakafilisiwa mabenki ilikuwa nini.
Mashetani wakubwa ninyi

Kwani zile zilizofilisiwa zilikuwa zao. Si ni hela za waTanzania walizojilimbikizia kwa njia ya wizi!!?
 
Mtu akienda kwao na kipokelewa na wakwao anakuwa mkabila! Wengine wanajipendelea kabisa kwa kujiwekea miundombinu wala hakuna anaesema.

Zunguka rombo au Kilimanjaro nzima, ndiyo utaelewa maana ya kujipendelea.
 
Magufuli aliwachonganisha wenye kipato cha chini na matajiri, wenye kipato cha chini wakafurahia na wakamzawadia kura nyingi

Mbowe anamchonganisha Magufuli na watu wa Kaskazini, lengo la mwanasiasa ni Ratings, Kura na Madaraka!

Samiah anapita katikati ya makundi haya (wamagufuli na wakaskazini) kimyakimya, ananyakua kura za kutosha anashinda kwa kishindo! 2025!

wananchi msitumie hisia mnapowasikiliza wanasiasa.

Mbowe simuamini tangu 'abadilishe gia angani'
Magufuli alifanya mengi mabaya na mengi mazuri, ubaya nimesamehe na mazuri nimeyafurahia, apumzike kwa amani.

Mbowe kuusema ukatili wa Magufuli leo hii hautusaidii kitu, kwani hayupo tena na hata angekuwepo tusingeweza kumhukumu maana katiba hairuhusu, ni kututonesha vidonda!

Ajikite zaidi kwenye kuikosoa serekali iliyopo madarakani, pale ambapo inaenda kinyume na matarajio ya wananchi, awe msemaji wetu!
Asipofanya hivi basi itakua ni gia nyingine imebadilishiwa angani!
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
CCM kama wameshindwa waache nchi badala ya kutuletea propaganda za kijinga.
 
Hafai kuwa kiongozi kivpi na wakati yeye ni kiongozi wa chama na ukisema hayo je kanda ya ziwa kwa sasa tuna mawaziri wangapi? Kama ni ukanda na ukabira umeanzia kigumu kinatuumiza maana mwendazake alisema sehem ambayo wana viongozi wa upinzani hatawapelekea maendeleo na ni kweri alifanya hivo.
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Wewe hamnazo, kichwani kwako kilichopo ni ufala tu! Yaani hukuweza tambua hata ukanda wa Magurudumu?
 
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.

Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu

Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana

Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.

Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.

Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Haikusaidii kuanduka uharo huku, Mbowe ni jabali, mlimfunga na kumwachia wenyewe kwa sababu dunia ilisimama nae, alipofariki yule mkabila dunia ilishangilia sana, sasa dunia inamshika mama mkono kwa kuiheshimisha tanzania.
 
Back
Top Bottom