Mbowe kafanya mengi mazuri kwa Chadema Kwa nchi yake na kwenye siasa za upinzani ila naona ni muda mzuri na sahihi kwake kuachia ngazi

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,006
1,171
Wakuuu kwanza nampongeza mkiti Mbowe Kwa mengi aliyoyafanya Kwa chama chake kwa nchi yake na taifa kwa ujumla.

Huyu ni kiongozi wa upinzani ambaye hatasahuliwa vizazi vingi vijavyo. Pamoja na kwamba hakuwa mwenyekiti kwanza wa chadema lakini amekuwa nafasi kubwa ya kuweka misingi ya Chadema kama inavyoonekana Leo. Amekuwa kiongozi mwenye msimamo hata kipindi Cha mtikisiko mkali wa demokrasia nchini.

Ameweza kuwaandaa viongozi wengi ambao wengine wamekuwa maarufu kuliko yeye na kuwapa nafasi kubwa za kugombea na mengine mengi

Pamoja na hayo yote lakini ninaona ni wakati wake mzuri sana wa kuachia ngazi. Wakuuu kiongozi mzuri sio yule anayejua wakati wa kuingia Bali anajua wakati wa kutoka pia.

Kila kiongozi ana mambo amb ayo anaweza kuyafanya baada ya hapo anapozidi kukaa anaweza kun'goa Yale mazuri yake yote.

Moja ya jambo lililompa heshima Mkiti na rais wa kwanza wa nchi hii ni kujua wakati kung'atuka. Kwa wale watu wa karibu mnaopenda Mbowe mshaurini kwa hekima awe tayari kuachia nafasi ya mkiti abaki kuwa mshauri
Mambo aliyoyafanya ni mengi mazuri Ili asije akayang'oa kwa mikono yake
 
Bila kujali msimamo wako wa kiitikadi mleta uzi, mimi ni katika watu wanaoamini kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, na ikizidi sana usizidi 15. Mbowe katumikia miaka yake kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa, ila katika miaka yake mitano akaanza kufanya makosa, na zaidi ya hii mitano sasa anaenda kuvurunda kabisa.

Ni lazima Mbowe ashauriwe, au ashinikizwe kuachia nafasi ya uenyekiti wa CDM kama anataka CDM ibaki salama, na heshima yake iendelee kuwepo. Huu ndio ukweli ambao nilianza kuuona kwa Mbowe mara baada ya kosa la kumpokea Lowassa. John Heche ni mtu sahihi kuwe mwenyekiti wa CDM kwa sasa.
 
Bila kujali msimamo wako wa kiitikadi mleta uzi, mimi ni katika watu wanaoamini kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, na ikizidi sana usizidi 15. Mbowe katumikia miaka yake kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa, ila katika miaka yake mitano akaanza kufanya makosa, na zaidi ya hii mitano sasa anaenda kuvurunda kabisa.

Ni lazima Mbowe ashauriwe, au ashinikizwe kuachia nafasi ya uenyekiti wa CDM kama anataka CDM ibaki salama, na heshima yake iendelee kuwepo. Huu ndio ukweli ambao nilianza kuuona kwa Mbowe mara baada ya kosa la kumpokea Lowassa. John Heche ni mtu sahihi kuwe mwenyekiti wa CDM kwa sasa.
Ngoja chawa wake wanaonufaika na utawala wake wakushukie Erythrocyte
 
Atapatikana wapi kiongozi mungine wa kuwalipa chawa wa chama na kugharamia mabasi na malori ya kuleta watu mikutanoni kama anavyofanya Mbowe.

Siri imefichuka

CDM ilisharuka siasa hizi za kipumbavu. Siasa hizi za kusomba wetu ili kuhadaa umma kwa kinakubalika wanafanya CCM kwakuwa wanaweza kuchota fedha za umma. Mtatengeneza sana fake snapshot ili kujiliwaza, lakini ukweli uko wazi. Sasa subiri uone CCM watakavyopanick, na akija Lisu ndio mtapoteana mazima.
 
Ndio maana nasema haya mambo kuna wakati yanahitaji kutumia akili zaidi ya maguvu...

Mbowe kuondoka Chadema ni suala la muda tu, coz alishasema itakuwa this year...

Lakini atakuja nani kuchukua nafsi yake kwangu ndio la msingi zaidi, atakuwa na akili na hekima kama za Mbowe? au kwake ni kushikana mashati tu muda wote kama wanachadema wanavyopenda!..
FnAV-BPWQAAQMam.jpeg.jpg


Yes, na alifanikiwa kumtongoza demu, ajabu wengine hawaoni hili! wao ni Mbowe aondoke...kama wimbo!.
 
Atapatikana wapi kiongozi mungine wa kuwalipa chawa wa chama na kugharamia mabasi na malori ya kuleta watu mikutanoni kama anavyofanya Mbowe.

Siri imefichuka
Pamoja na mbowe kutumia fedha zake nyingi kwa ajili ya chama lakini sitaki kuamini kwamba anaweza kufanya jambo la kipumbavu kama hilo
 
Kuwa mzalendo wa nchi hakuna kikomo chake, kwahio nafasi ya Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema ikiwa wana Chadema hawana shina nae abaki na aendelee.
Kwa kiongozi mwenye uwezo wa kutambua wakati na mwenye Nia ya kuacha legacy , anatambua nyakati za kuachia ngazi hata kama Kuna wachache watakaotaka aendelee ni kwa unafiki TU,
Kuna mifano mingi ya viongozi waliofanya mazuri lakini kwa kutokutambua exited time wakaondolewa kwa aibu Huku wakiharibu yote mema waliofanya,

Kwa hiyo Kwa wakati huu wanaomshauri mbowe naona no unafiki au wanaangalia zaidi maslahi Yao binafsi wanyoayapata kupitia Kwa mbowe
Hayati baba wa taifa aliwahi kukiri kwamba aligundua waliokuwa wanamshauri kuendelea ni wale wenye maslahi Yao binafsi
 
Bila kujali msimamo wako wa kiitikadi mleta uzi, mimi ni katika watu wanaoamini kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, na ikizidi sana usizidi 15. Mbowe katumikia miaka yake kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa, ila katika miaka yake mitano akaanza kufanya makosa, na zaidi ya hii mitano sasa anaenda kuvurunda kabisa.

Ni lazima Mbowe ashauriwe, au ashinikizwe kuachia nafasi ya uenyekiti wa CDM kama anataka CDM ibaki salama, na heshima yake iendelee kuwepo. Huu ndio ukweli ambao nilianza kuuona kwa Mbowe mara baada ya kosa la kumpokea Lowassa. John Heche ni mtu sahihi kuwe mwenyekiti wa CDM kwa sasa.
Kila kitu muhimu kimebadilika, mazingira ya kisiasa yamebadilika, rules of the game have changed, washindani ndani ya ushindani wamebadilika, na hata aina ya uendeshaji shughuli za kichama umebadilika.

Ni vyema chama kiwe na "succession plan" ili mwingine aje achuke nafasi ya Mwenyekiti Taifa. Mchango wa Mh. Mbowe kwa hakika ni wa kutukuka, na bado utaabakia na kuandikwa kwa wino wa dhahabu katika kumbukumbu za chama.

Zama zimebadilika, 2023 kama alivyoahidi kung'atuka na vyema afanye hivyo kwa ajili ya matakwa ya kesho na maslahi mapana ya chama. Hotuba yake ya leo inadhibitisha jambo hilo, kwa kuwa ameongea kwa hisia kali kama Mbowe mwenyewe na wala siyo kama Mwenyekiti Taifa wa CDM.

Kama ni kufanya "compromization" na watesi wa CDM kupitia historia mbovu ilivyoandikwa wakati wa utawala wa JPM, basi na itokane na maelekezo ama maagizo ya KK ya CDM, kuliko kuonekana kama hisia binafsi zilizoonyeshwa leo katika hotuba yake kwa taifa. Hiki ni chama kikuu cha upinzani, na lazima kijipambanue na kiwe na agenda mbadala za kushawishi umma ili kutaka kuitwaa dola kidemokrasia.

CDM kina hoja nyingi ya kuzileta kwa wananchi, kuliko kuishia kuongea kwa "soft language" na kumsifia Rais SSH. Tulitegemea kuziona spana za uhakika kuliko viongozi wa kitaifa kuonekana kama walamba asali. Matumaini ni ujio wa Lissu, kama utabadilisha upepo, na pia hotuba ya leo ilikuwa ni mtego tuwa kisiasa wa kuwavimbisha vichwa watawala na hatimaye kuiingiza CCM kambani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kiongozi mwenye uwezo wa kutambua wakati na mwenye Nia ya kuacha legacy , anatambua nyakati za kuachia ngazi hata kama Kuna wachache watakaotaka aendelee ni kwa unafiki TU,
Kuna mifano mingi ya viongozi waliofanya mazuri lakini kwa kutokutambua exited time wakaondolewa kwa aibu Huku wakiharibu yote mema waliofanya,

Kwa hiyo Kwa wakati huu wanaomshauri mbowe naona no unafiki au wanaangalia zaidi maslahi Yao binafsi wanyoayapata kupitia Kwa mbowe
Hayati baba wa taifa aliwahi kukiri kwamba aligundua waliokuwa wanamshauri kuendelea ni wale wenye maslahi Yao binafsi

Naunga mkono hoja, tena Mbowe ni kama amechelewa. Hakustahili kabisa kugombea uenyekiti kwenye uchaguzi Mkuu wa chama uliopita. Hakuna maelewano na CCM. Ni bora CDM ifutwe, kuliko kuwepo huku ikifanya siasa za kuratibiwa na dola.
 
Bila kujali msimamo wako wa kiitikadi mleta uzi, mimi ni katika watu wanaoamini kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, na ikizidi sana usizidi 15. Mbowe katumikia miaka yake kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa, ila katika miaka yake mitano akaanza kufanya makosa, na zaidi ya hii mitano sasa anaenda kuvurunda kabisa.

Ni lazima Mbowe ashauriwe, au ashinikizwe kuachia nafasi ya uenyekiti wa CDM kama anataka CDM ibaki salama, na heshima yake iendelee kuwepo. Huu ndio ukweli ambao nilianza kuuona kwa Mbowe mara baada ya kosa la kumpokea Lowassa. John Heche ni mtu sahihi kuwe mwenyekiti wa CDM kwa sasa.
Nashukuru Kwa kupensekeza ila naamini mchakato wa Demokrasia ndani ya chama utachukua mkondo wake ktk kumpata mkt mpya
Katika hili ningetamani mambo mawili yarekebishwa
Kwanza uwepo ukomo wa uenyekiti taifa
Pili Demokrasia isimamie vizuri kwenye chama
 
Bila kujali msimamo wako wa kiitikadi mleta uzi, mimi ni katika watu wanaoamini kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, na ikizidi sana usizidi 15. Mbowe katumikia miaka yake kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa, ila katika miaka yake mitano akaanza kufanya makosa, na zaidi ya hii mitano sasa anaenda kuvurunda kabisa.

Ni lazima Mbowe ashauriwe, au ashinikizwe kuachia nafasi ya uenyekiti wa CDM kama anataka CDM ibaki salama, na heshima yake iendelee kuwepo. Huu ndio ukweli ambao nilianza kuuona kwa Mbowe mara baada ya kosa la kumpokea Lowassa. John Heche ni mtu sahihi kuwe mwenyekiti wa CDM kwa sasa.
Mkuu upo Sawa kabisa yaan hata leo kwa mtu aliyekuwepo pale furahisha atakubaliana na mimi kuwa mh mbowe ametumia takriban dakika 50 kujisafisha na kuwananga wapinzani wake wandani ya chama chake

Niukweli usiyo pingika kuwa kafanya mambo makubwa kwa kipindi chake cha uongozi hata leo nilitegemea busala itumike kuwajibu viongozi wenzie waliyo mbeza kwa kile alichokuwa akikifanya kwa ajili ya chama yaan vikao vya malidhiano

Matokeo yake hotuba yake yote ameitumia kuwa jibu viongozi wenzake na kumsifia mh Raisi

Hilo sisi halikutupeleka furahisha tumekwenda furahisha ikiwa kiuyetu kubwa ni kusikiliza maono na muelekeo mpya wa chama
 
Kila kitu muhimu kimebadilika, mazingira ya kisiasa yamebadilika, rules of the game have changed, washindani ndani ya ushindani wamebadilika, na hata aina ya uendeshaji shughuli za kichama umebadilika.

Ni vyema chama kiwe na "succession plan" ili mwingine aje achuke nafasi ya Mwenyekiti Taifa aliyepo madarakani. Mchango wa Mh. Mbowe ni wa kutukuka na utaabakia kuandikwa kwa wino wa dhahabu katika kumbukumbu za chama.

Zama zimebadilika, 2023 kama alivyoahidi kung'atuka na vyema afanye hivyo kwa ajili ya matakwa ya kesho na maslahi mapana ya chama. Hotuba yake ya leo inadhibitisha jambo hilo, kwa kuwa ameongea kwa hisia kali kama Mbowe na wala siyo Mwenyekiti Taifa wa CDM.

Kama ni kufanya "compromization" na watesi wa CDM kupitia historia mbovu ilivyoandikwa wakati wa utawala wa JPM, basi hii itokane na maelekezo ya KK ya CDM, kuliko hisia zilizoonyeshwa leo katika hotuba yake kwa taifa. Hikini chama kikuu cha upinzani, na lazima kiwe na agenda mbadala za kushawishi kuitwaa dola.

CDM kina hoja nyingi ya kuzileta kwa wananchi, kuliko kumfia Rais SSH. Tulitegemea kuziona spana kuliko viongozi wa kitaifa kuonekana kama walamba asali. Matumaini ujio wa Lissu utabadilisha upepo, na pia hotuba ya leo ilikuwa ni mtego wa kisiasa kuiingiza CCM kambani.



Sent using Jamii Forums mobile app

Naunga mkono hoja, naheshimu sana mchango wa Mbowe kwa CDM, lakini kukaa madarakani muda mrefu kumepunguza ubora wake, na sasa anaanza kuharibu brand ya CDM. Nijuavyo CDM sio chama cha kujipendekeza kwa dola, lakini kwasasa Mbowe binafsi anafanya hivyo huku wañacdm wakichelewa kumuambia ukweli. Tuombe Lisu akifika asifuate atakacho Mbowe.
 
Hotuba ya Mbowe leo imeonyesha kuna wahafidhina ndani ya CDM hawapo pamoja nae wanapinga approach zake na serikali ya ccm wanapinga usiri wa vikao vyake na ccm wanamuona sio kamanda mwenzao tena chadema haijazoea siasa za kusifu km anazofanya Mbowe na kijana wake sugu ni wakati muafaka sasa wa chama kumpa uenyekiti John Heche ambaye wanachadema wengi wameonyesha imani kubwa kwake
 
Back
Top Bottom