Mbowe ndani ya Bunge

Mbowe ndani ya Bunge

anasema ikitokea wameshindwa kuzalisha umeme hawailipi serikali!ilihali kila mwez tunawalipa capacity charges
 
anaongelea symbion!anasema wanatumia mitambo ya dowans!mbona leo kila mtu ameufyata?au kwa vile ni wamarekani?
 
Mwijage mjinga kweli anapigania elimu yake bungeni!
 
ndugai yuko fair kuliko makinda may b huyu at least angefaa!
 
Spika Ndugai anahitimisha bunge kwa kukiri kwamba bunge limekuwa moto
 
la muhimu nililolisikia ni kuwa watatumia nguvu ili umeme unaoenda nyamongo mgodini utatumika na wananchi!kasisitiza wataushusha kwa nguvu.

Jamani ya nini kuongopea watu hivi, hiyo kauli hajasema Mbowe aslani. aliyesema hayo ni mbunge wa tarime tena kasema watatumia mapanga, Lukuvi eti akam-bembeleza afute hiyo kauli, naibu akamsemea Nyangwine kwamba hiyo ndio lugha ya kawaida tarime, kwa ujumla Magamba wamejichanganya sana kwenye huu mjadala ni kama "The River Between"
Nawasilisha!
 
sasa hv anachangia Mwijage!anaanza kusema amepatwa na matatizo jimboni kwake!katika kata yake kuna uvamizi,migomba inakatwa,n a pia tembo wanasumbua

Mwijage ameni acha hoi sana kwani huyu mkuu ana yale majigambo original ya wenzentu akina Rweikaribu
 
Mbowe ni Mbunge pekee anayeongea kwa hisia kali na za ukweli,wengine wanaigiza.
 
hivi kiongoz wa upinzani anatumia lugha ya matusi kwa manufaa ya nani? sisi wapiga kura tunamuelewa?

Mtu mzima kuongopa hata kama una chuki na Mbowe haifai na unapoteza maana ya mjadala si vyema na unaweza kukaa kimya kama umeishiwa la kusema badala ya kuudhi sisi kenge wewe .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom