MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
hawa wabunge wa ccm wana matatizo, muongeaji Mhe Gaundensi-mbunge kutoka Mbinga aliyefuata kuchangia baada ya Mbowe, badala ya kuchangia mstakabali mzima juu ya nishati na madini; yeye mojakwamoja kaanza kushambulia hoja za Mbowe na kuzitolea majibu mepesi; sielewi nafasi yake hiko wapi ni waziri mbadala wa nishati na madini?
Kaulizwa swali jibu lake kasema 1+1= 2 simple. Haya ndio majibu mepesi mepesi ya Magamba