Mbowe ndani ya Bunge

hawa wabunge wa ccm wana matatizo, muongeaji Mhe Gaundensi-mbunge kutoka Mbinga aliyefuata kuchangia baada ya Mbowe, badala ya kuchangia mstakabali mzima juu ya nishati na madini; yeye mojakwamoja kaanza kushambulia hoja za Mbowe na kuzitolea majibu mepesi; sielewi nafasi yake hiko wapi ni waziri mbadala wa nishati na madini?

Kaulizwa swali jibu lake kasema 1+1= 2 simple. Haya ndio majibu mepesi mepesi ya Magamba
 
Tanesco wamenifanya masikini kabisa,Nitakapoanza kulipiza Kisasi kwa Tanesco nani atakuwa supporter wangu?
 
amemwambia waziri awabane walio chini yake!anasema kuna kampuni zimeanza kuagiza mafuta ya ndege!ni usanii!anaongea haraka haraka sana siwez hata ku summarize!
 
Jamaa anajifagilia balaa!anasema bulk procurement ni kimeo!anasema yy ndio pump over wa kwanza tanzania
 
anasema gesi ipo ya kutosha ila tumeikalia!tpdc haijawezeshwa!anasema gesi asili hatuimiliki!anaongelea ndoa ya tpdc na panafrica!anasema ina mashaka!so iundwe kamati akipatikana mtu atashughulikiwa!
 
sasa anachangia Lembeli!ngoja nisikilize!anasema katumiwa ujumbe wa sms na mpiga kura wake kuwa asiunge mkono hoja!
 
sasa anachangia Lembeli!ngoja nisikilize!anasema katumiwa ujumbe wa sms na mpiga kura wake kuwa asiunge mkono hoja!
Amesema haungi mkono hoja, uzulumwaji wa fidia, umaskini maeneo yalipo migodi ya dhahabu ni sababu mojawapo
 
Laiti mgao usingekuwepo na mimi ningeshuhudia hayo mliyoyaona ndugu zangu..
 
anasema asilimia 60 ya mapato ya madini yarudishwe kwenye benk za ndani ili kulinda currency yetu!
 
Gesi!anamshukuru mnyika na makamba!anawafagilia!anasema kuna tatizo kwenye mikataba ya gesi!anaongelea orca!anasema n kampun mama ya panafricanenergy
 
anasema ges inamilikiwa na tpdc!anasema investigation ya kina ifanyike kwenye mkataba kati ya panafrica na tpdc.
 
hawa wabunge wa ccm wana matatizo, muongeaji Mhe Gaundensi-mbunge kutoka Mbinga aliyefuata kuchangia baada ya Mbowe, badala ya kuchangia mstakabali mzima juu ya nishati na madini; yeye mojakwamoja kaanza kushambulia hoja za Mbowe na kuzitolea majibu mepesi; sielewi nafasi yake hiko wapi ni waziri mbadala wa nishati na madini?
Atakuwa waziri wa nishati na madini wa viti maalumu labda!
 
Back
Top Bottom