Mbowe ndani ya Bunge

Mbowe ndani ya Bunge

Si ndiye Makamba huyuhuyu ambaye wiki 3 zilizopita mlimponda sana hapa jamvini kuwa amekula hongo kutoka Barricks. Leo amegeuka lulu na kuanza kumpongeza? Kweli nimeamini akili za MAGWANDA ni ndogo zaidi ya haradari.
Amang'ana Mura???

Muache kijana aje apige kazi muraaa....

Unataka aendelee kukaa na wavivu wenzio wa CCM azidi kudumaa kiakilia hadi Mang'ana gasarikire???

Kukosolewa katika chama chenye wachapakazi kama CDM ndio kunaifanya iwe na nguvu zaidi, hata Zitto anakosolewa na kupondwa kama akiharibu mura
 
naona mzee wa kikofia anamwaga data hapa!Nimrodi mkono!anazungumzia mgod wa buhemba ambao ulikua wa meremeta kukabidhiwa stamico!naona ana data hapa!anasema kabla ya kukabidhiwa stamico mgodi wa buhemba ulikua chini ya jeshi la polisi.
 
Huna aibu wewe?? Badala ya kuongelea habari ya umeme kuwaka au kutowaka unaongelea kushikwa mashati... Ndio nyie hata hela ya jenereta hamna na hapo umevizia computer za ofisini umeme bure ukirudi home mnapikia kuni lakini unajifanya huoni matatizo kukubwa kwako ni Mbowe kushikwa shati zaidi ya hili giza. We lazima ni mpemba tu unaonekana mvivvu sana we mke wa malaria sugu
Nakuunga mkono kwa hilo ni wapumbavu sana hawa watu,hakuna la maana wanalojua zaidi uongo.
 
anasema stamico imekabidhiwa pori,anaungana na wapinzan kusema serikali ni legelege!ngoma inogile!anasema kila kitu pale kimechakachuliwa!hakuna chochote.
 
hv mkono kamsifia kwa sabab gan maana hotuba yake yote anamponda!
 
Anauliza mashamba ya mwalimu hayana umeme!transfoma ilishaondolewa siku nyingi mno!anasema nchi inaenda wapi?kweli hapa mzee yupo fair!anazungumza kitu kinachoeleweka!
 
Si ndiye Makamba huyuhuyu ambaye wiki 3 zilizopita mlimponda sana hapa jamvini kuwa amekula hongo kutoka Barricks. Leo amegeuka lulu na kuanza kumpongeza? Kweli nimeamini akili za MAGWANDA ni ndogo zaidi ya haradari.
Kula hongo kunabaki pale pale hakufutwi na hotuba nzuri.
 
Magwanda siku zote wanatia fora kwa kugeuka geuka rangi kaa vinyonga;

1) Wiki ilyopita Makamba mbaya, leo mzuri, wiki ijayo?

2) Wiki iliyopita Sitta mzuri, jana mbaya, wiki ijayo?

3) Siku za nyuma, muafaka hakuna mpaka kieleweke, juzi muafaka Arusha.

Endelezeni....
 
mwisho anasema hoja ni nzuri iwapo utekelezaji wake una watu wanaangalia kwa makini!katoa mfano mto mara kuwekewa bwawa la kuzalisha umeme!kasema haungi mkono hoja had aambiwe mitambo ya buhemba kaiba nani?patamu hapo!
 
Kuna mtawala mmoja wa Russia enzi hizo aliwahi kusema mawazo ya wananchi yaliyo mengi ni upuuzi cha msingi wakupende ila ni vigeugeu tu.
Mbowe leo akimsifia Rostam utaona hapa JF pro-Mbowe wote wanamsifia na kumpamba.
Mna shida kweli nyie wenye mapenzi na viongozi.
Wewe ni type ya wabunge wa CCM wanaopinga kila kinacholetwa na wapinzani na kushangilia kila uozo wa CCM.
 
Mkono anaonyesha ujasiri hapa anatoa msisitizo kua haungi hoja Bajeti hadi atakapojibiwa hoja zake
 
sasa hv anachangia Mwijage!anaanza kusema amepatwa na matatizo jimboni kwake!katika kata yake kuna uvamizi,migomba inakatwa,n a pia tembo wanasumbua
 
amesema haungi mkono hoja hadi apate majibu ya maswali yake!anasema vijijin kwao hakuna umeme!mbona haongelei lile la kupigwa?
Nadhani la kupigwa tusubiri mjadala wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi. Au siyo?!
 
anasema amekuja kivingine!amekuja na mapendekezo!kuwa itafutwe mitambo popote!ila taabu itakua ni gesi,wakandaras wapewe vipande vipande
 
Kupeng'e usilete utani watu tuko kazini kuikomboa nchi yetu hatuangalii vyama ila uzalendo wa dhati wewe unakuja na upupu wako
 
angalia wanamagamba hawajamshangilia mkono lakn wanashangilia kusikia serikal haifanyiwi majaribio.
 
Anasema kama kuna hujuma kwenye chanzo cha maji kitafutiwe ufumbuzi!sasa hv anaongelea usambazaji wa umeme!anataka Rea iwezeshwe!ili umeme ufike vijijini!anasema kila lita ya disel itolewe shs 10 kwa ajili ya Rea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom