Mbowe, na sisi pia tumekuchoka pumzika acha udikteta ndani ya chama

Kwani ni yeye tu anaweza kupitia hayo? Ni lazima anayekuja na yeye apitie mazingira yake? Mbona wako wapinzani wengi tu wanapitia hayo, au yeye ni special? Kaondoka Slaa na cdm bado ni hai, tujenge cdm imara kama taasisi, na sio viongozi ving'an'ganizi wa madaraka eti ni watu imara. Kama amekuwa mwenyekiti kwa miaka 15 bila kujenga taasisi imara bali kujigeuza yeye ndio imara, basi hicho sio chama bali kundi la marafiki walioko kwenye siasa. Cdm tujitahidi kuepuka siasa za mtu bali tujenge chama imara, kwani Mbowe anaweza kufa hata leo, je ikitokea hivyo ndio chama kitakufa, acheni mambo ya utetezi wa aibu.
Ukweli toka moyoni mwangu, Wewe ni mfiasi wa upinzani mwenye uelewa wa juu saana, nimekua nikikufuatilia tangu muda kidogo, mfano ujio wa lowasa ndani ya chadema, uliupinga hadi pale aliporudi alikotoka. Wapinzani wengi wa Tanzania wanaweza wasikuelewe ila ukweli utasimama na mbowe anatakiwa kupumzika.
 
Acha ufafa wewe nini maana ya democrasia? Wewe si mwanachama wa CDM, wanachama wa cdm wanachukua form na wengine wameshachukua tunasubiri kupiga kura kuamua nani awe mwenyekiti sio maneno, kura ndio zitaongea swine ww.

Huu mchezo hautaki hasira, sibahatishi ninachosema.
 
kwa muda na nyakati tulizopo bado inahitajika mtu wa aina ya mbowe kama sio busara na uvumilivu basi meli ingesha zama!
 
Mimi ni mfuasi wa mageuzi ndani ya nchi hii ila niseme ukweli wa principle ya dictetor yeyote, watu wanaomzunguka huwa hawamwambii ukweli na uwa wanamkimbia pale maji yakiwa shingoni hivyo natoa ushauri sio tu kwa Mbowe.

Watu wote wenye mamlaka ya kiuongozi jaribuni kuwa mnatoka na kwenda kusikiliza Umma unataka nini juu ya uongozi wenu.

Ndicho kinachofanyika kwa Mbowe watu walio karibu yako wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila ukweli wanaujua wewe umechoka hauna tena jipya ndani ya chama wao wanakushauri upuuzi ili waendelee kula ruzuku sasa subiri 2020 ruzuku ikipungua jinsi watakavyokubadilikia.

Mbowe Jiangalie ondoka kwa heshima kama kweli CHADEMA ni taasisi toka nenda mtaani sikiliza watu halisi wapenda mabadiliko ya kweli sio wapambe.
Umemchoka wewe na mkeo?
 
Ukweli toka moyoni mwangu, Wewe ni mfiasi wa upinzani mwenye uelewa wa juu saana, nimekua nikikufuatilia tangu muda kidogo, mfano ujio wa lowasa ndani ya chadema, uliupinga hadi pale aliporudi alikotoka. Wapinzani wengi wa Tanzania wanaweza wasikuelewe ila ukweli utasimama na mbowe anatakiwa kupumzika.
Kwa mtu yoyote mwenye kichwa chenye kujuwa hesabu asingeweza kumuacha lowasa ni mwendawazimu tu angeweza kumuacha karata ya lowassa ilikuwa Bora Sana sema wizi ndio ulishinda nguvu ya umma na pengine wa Tanzania wangekuwa ngangari Leo tungekuwa tunaongea mengine!
 
Ndugu usidhani kuongoza chama cha siasa kwenye hizi nchi zilizokosa ustaarabu wakisiasa ni kazi rahisi.Ata kama kuna wengine wanaoweza kuongoza ila sidhani kama nibusara kumweka mbowe pembeni kwasasa kulingana na hali halisi ilivyo, kwasababu Mbowe tayari anajulikana kuanzia busara zake hadi uvumilivu sasa usidhani ni jambo rahisi kumpata mwingine mwenye kaliba hiyo kwenye zama kama hizi.Kumbuka siasa isipochukuliwa kwa uangalifu inaweza kuleta majanga makubwa sana kwaiyo nivyema kua na kiongozi anayeweza kudhibiti hisia zake,ujinga wake, hasira zake na wafuasi wanaunga mkono chama ili chama kiendelee kua na utulivu.Tofauti na hapo mambo yanaweza kubadilika.
Haya mawazo ni ya kijinga kabisa japo ni muhimu tuyaheshimu kwa vile una uhuru wa kuchangia ivi unajua kuwa kiongozi yoyote bora anapaswa kuwa na succesion plan sasa imagine leo mbowe kapata ajari na kapoteza Maisha tuseme ndio chama hakitapata Mwenyekiti kwa vile unahisi hakuna mtu wa kuvumilia izo suluba za dola??? Vijana wapo ambao ni bold enough kupambana na haya yanayoendelea sasa mbowe amekuwa kama pandikizi tu upole wa kupitiliza kila kitu anatii na haoneshi msimamo sasa hatuelewi labda yupo kwenye payroll ya Dola.. John Heche kwa nyakati hizi anafaa sana na ikiwezekana Aongezewe ulinzi na wenye mapenzi mazuri na chama ili kuhakikisha ndio ana succeeded Mbowe. MBOWE amefanya mazuri mno ila ni wakati wake kupisha Damu changa pia itamlindia heshima sana kuliko kungangania Chama mwisho akitumbukize shimoni na aje aonekane mjinga tu kama tunavyowaona kina mrema sasa.
 
Acha ufafa wewe nini maana ya democrasia? Wewe si mwanachama wa CDM, wanachama wa cdm wanachukua form na wengine wameshachukua tunasubiri kupiga kura kuamua nani awe mwenyekiti sio maneno, kura ndio zitaongea swine ww.
Mkuu bila kutukanana au kuitana nguruwe haiwezekani kujadiliana na kuelewana?
Hiyo sio demokrasia.
 
Akitoka Mbowe wengine hao ni rahisi kununuliwa na hapo ndo itakuwa mwisho wa CHADEMA
 
Akitoka Mbowe wengine hao ni rahisi kununuliwa na hapo ndo itakuwa mwisho wa CHADEMA
Hata kutokea kwa machafuko nchini ye ndo kashika amani yetu.Akija mwingine atokubali kuonewa atamwaga vijana barabarani kudai haki zao
 
Nikwel huu ni mda mzuri wa Mbowe kuachia uenyekiti kwa huo mda ametufikaisha pazuri , John heche ,ana faa kupokezana kijiti na Mbowe, pia kama akipitishwa tena kuwa mwenyekiti namshauri awe mkali kama mwenzake( jiwe) akimwaga mboga Mbowe achukue ugali akatafute mboga kwa jirani asiendelee kuzira wakati wa kula.
Dawa ya jiwe ni moto na nyundo
 
Hakuna cha kuivusha cdm, siungi mkono kiongozi yoyote anayeutaka uenyekita wa cdm aliyetokea ccm, kama Cecil Mwambe au Sumaye, ila kuna watu madhubuti kama John Heche nk. ambao ucdm wao hatuna shaka nao.
Mwambe njaa atauza mechi,heche atokubali ukondoo moto lzm uwake wakagawane vyumba the hague
 
Back
Top Bottom