Mbowe, na sisi pia tumekuchoka pumzika acha udikteta ndani ya chama

Huu mchezo hautaki hasira, sibahatishi ninachosema.
Huu mchezo hautaki hasira, sibahatishi ninachosema.
[/QUOTE]
Nimeona kuna hoja kuu mbili zenye kutumika humu kupendekeza Mbowe aendelee na nafasi yake.

a)Mbowe ni mvumilivu na hanunuliki kwa sababu amepitia amepata misukosuko yeye binafai pamoja na mali zake ila hadi hajakubali kununuliwa amekomaa, hivyo hadi sasa hajaonekana mwengine hapo Cdm ambaye anaonekana kama ataweza kuvumilia hii misukosuko ya aina hii na bado akaendelea kuvumilia na kuuza chama.
b)Mbowe ana hekima na busara hivyo ameweza kuepusha machafuko nchini kwa maana angekuwa mwengine pengine angeshaingiza vijana barabarani na kusababisha machafuko nchini hivyo Mbowe ameishikilia amani ya nchi.

Mkuu hoja hizo unazizungumziaje?
 
Huu mchezo hautaki hasira, sibahatishi ninachosema.
Nimeona kuna hoja kuu mbili zenye kutumika humu kupendekeza Mbowe aendelee na nafasi yake.

a)Mbowe ni mvumilivu na hanunuliki kwa sababu amepitia amepata misukosuko yeye binafai pamoja na mali zake ila hadi hajakubali kununuliwa amekomaa, hivyo hadi sasa hajaonekana mwengine hapo Cdm ambaye anaonekana kama ataweza kuvumilia hii misukosuko ya aina hii na bado akaendelea kuvumilia na kuuza chama.
b)Mbowe ana hekima na busara hivyo ameweza kuepusha machafuko nchini kwa maana angekuwa mwengine pengine angeshaingiza vijana barabarani na kusababisha machafuko nchini hivyo Mbowe ameishikilia amani ya nchi.

Mkuu hoja hizo unazizungumziaje?
[/QUOTE]

Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi miaka 10. Sina tatizo na mawazo ya watu wengine na ninayaheshimu. Lakini msimamo wangu kuhusu mtu kutokukaa kwenye cheo kimoja kwa zaidi ya miaka 10 haubadiliki.
 
Nimeona kuna hoja kuu mbili zenye kutumika humu kupendekeza Mbowe aendelee na nafasi yake.

a)Mbowe ni mvumilivu na hanunuliki kwa sababu amepitia amepata misukosuko yeye binafai pamoja na mali zake ila hadi hajakubali kununuliwa amekomaa, hivyo hadi sasa hajaonekana mwengine hapo Cdm ambaye anaonekana kama ataweza kuvumilia hii misukosuko ya aina hii na bado akaendelea kuvumilia na kuuza chama.
b)Mbowe ana hekima na busara hivyo ameweza kuepusha machafuko nchini kwa maana angekuwa mwengine pengine angeshaingiza vijana barabarani na kusababisha machafuko nchini hivyo Mbowe ameishikilia amani ya nchi.

Mkuu hoja hizo unazizungumziaje?

Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi miaka 10. Sina tatizo na mawazo ya watu wengine na ninayaheshimu. Lakini msimamo wangu kuhusu mtu kutokukaa kwenye cheo kimoja kwa zaidi ya miaka 10 haubadiliki.
[/QUOTE]
Sawa ila hapa si tunajadiliana kwa hoja hivyo wewe haujashawishika na hizo walizozitoa watu kwenye suala la Mbowe kuendelea kushikilia hiyo nafasi?
 
Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi miaka 10. Sina tatizo na mawazo ya watu wengine na ninayaheshimu. Lakini msimamo wangu kuhusu mtu kutokukaa kwenye cheo kimoja kwa zaidi ya miaka 10 haubadiliki.
Sawa ila hapa si tunajadiliana kwa hoja hivyo wewe haujashawishika na hizo walizozitoa watu kwenye suala la Mbowe kuendelea kushikilia hiyo nafasi?
[/QUOTE]

Narudia tena, kiongozi hata awe mzuri vipi, kwangu miaka kumi ni mwisho. Na hata uzoefu unaonyesha kiongozi yoyote anayekaa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi ubora wake hupungua, na kuanza kutawala kwa mizengwe, na hata mazuri yake kuharibika. Mfano huo ni kama wafuatao chini
  1. Nyerere
  2. Moi
  3. Fidel Castro
  4. Muamar Gaddaf
  5. Husni Mubarack
  6. Elbashir
  7. Mugabe
Hiyo ni mifano ya dhahiri. Hao hapo juu fananisha na Mandela aliyetawala chini ya miaka 10. Huyu alimaliza na ubora wake. Anachokifanya Mbowe cha kuendelea kukaa madarakani zaidi ya miaka 10 ni kuharibu mazuri yake ya awali, na kosa lake la kwanza la dhahiri ni pale alipompokea Lowassa, na kumpa nafasi kubwa kabisa bila kujiridhisha na imani yake kwa chama. Matokeo yake Lowassa akaitumia CDM kutafuta alichotaka, ana alipokikosa akarejea ccm. Kwa kiongozi mkubwa kama Mbowe alipaswa kujiuzulu kwa kosa lile, ama asingegombea uchaguzi uliopita. Matokeo yake ndio haya anaingia kwenye sakata la kina Mdee kwa mlango wa nyuma kinyume na msimamo wa chama. Haya ni maoni yangu yasiyobadilika bila kujali wengine wanasema nini kuhusu Mbowe. Nitabaki naheshimu mawazo yao, lakini msimamo wangu huu ni dhabiti.
 
Mimi ni mfuasi wa mageuzi ndani ya nchi hii ila niseme ukweli wa principle ya dictetor yeyote, watu wanaomzunguka huwa hawamwambii ukweli na uwa wanamkimbia pale maji yakiwa shingoni hivyo natoa ushauri sio tu kwa Mbowe.

Watu wote wenye mamlaka ya kiuongozi jaribuni kuwa mnatoka na kwenda kusikiliza Umma unataka nini juu ya uongozi wenu.

Ndicho kinachofanyika kwa Mbowe watu walio karibu yako wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila ukweli wanaujua wewe umechoka hauna tena jipya ndani ya chama wao wanakushauri upuuzi ili waendelee kula ruzuku sasa subiri 2020 ruzuku ikipungua jinsi watakavyokubadilikia.

Mbowe Jiangalie ondoka kwa heshima kama kweli CHADEMA ni taasisi toka nenda mtaani sikiliza watu halisi wapenda mabadiliko ya kweli sio wapambe.
vipi uchungu umeisha ... umejifungua wa kike au wa kiume
 
Sawa ila hapa si tunajadiliana kwa hoja hivyo wewe haujashawishika na hizo walizozitoa watu kwenye suala la Mbowe kuendelea kushikilia hiyo nafasi?

Narudia tena, kiongozi hata awe mzuri vipi, kwangu miaka kumi ni mwisho. Na hata uzoefu unaonyesha kiongozi yoyote anayekaa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi ubora wake hupungua, na kuanza kutawala kwa mizengwe, na hata mazuri yake kuharibika. Mfano huo ni kama wafuatao chini
  1. Nyerere
  2. Moi
  3. Fidel Castro
  4. Muamar Gaddaf
  5. Husni Mubarack
  6. Elbashir
  7. Mugabe
Hiyo ni mifano ya dhahiri. Hao hapo juu fananisha na Mandela aliyetawala chini ya miaka 10. Huyu alimaliza na ubora wake. Anachokifanya Mbowe cha kuendelea kukaa madarakani zaidi ya miaka 10 ni kuharibu mazuri yake ya awali, na kosa lake la kwanza la dhahiri ni pale alipompokea Lowassa, na kumpa nafasi kubwa kabisa bila kujiridhisha na imani yake kwa chama. Matokeo yake Lowassa akaitumia CDM kutafuta alichotaka, ana alipokikosa akarejea ccm. Kwa kiongozi mkubwa kama Mbowe alipaswa kujiuzulu kwa kosa lile, ama asingegombea uchaguzi uliopita. Matokeo yake ndio haya anaingia kwenye sakata la kina Mdee kwa mlango wa nyuma kinyume na msimamo wa chama. Haya ni maoni yangu yasiyobadilika bila kujali wengine wanasema nini kuhusu Mbowe. Nitabaki naheshimu mawazo yao, lakini msimamo wangu huu ni dhabiti.
[/QUOTE]
bado unauchungu tukuvunjie chupa
 
Acha ufafa wewe nini maana ya democrasia? Wewe si mwanachama wa CDM, wanachama wa cdm wanachukua form na wengine wameshachukua tunasubiri kupiga kura kuamua nani awe mwenyekiti sio maneno, kura ndio zitaongea swine ww.
Ukiachana na siasa chafu , za kishamba na za kipumbavu zinazosimamiwa na viongozi wa ccm, Tanzania ni moja ya nchi Tajiri sana. Kama focus ingewekwa kwenye utumiaji wa rasilimali tulizonazo kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Ni kipi ambacho Mbowe anazuia sasa hivi akiwa mwenyekiti? Kama ni uhanga yeye ni muhanga namba moja wa udictator wa Magufuli. Miradi yake mingi imehujumiwa tena kwa sababu zilizo wazi za kisiasa. Kesi anazo za kubambikiwa na huenda akafungwa, alikaa ndani siku 90 tena kwa amri toka juu na hakuna chochote alichofanya.

Kama ni haiba ya chama inazidi kuharibiwa huku yeye akiwa mwenyekiti, viongozi mbalimbali wanahongwa na kuhamia ccm, mikutano na kazi za kisiasa zilizopo kisheria Magufuli kazizuia na Mbowe katii bila hata kwenda mahakamani kupata uamuzi wa kisheria. Kampokea Lowassa na kumpa cheo adhimu cha kugombea urais, hivi leo karudi ccm baada ya kuitumia cdm kama kondomu, mwenyekiti madhubuti hawezi kuokoteza mgombea urais kwa njia ya mwendo kasi. Sasa kwa mazingira hayo na muda aliokaa madarakani aendelee kuwa mwenyekiti ili iwe nini kwa mfano?
NA ANAJUWA KABISA HANA UBAVU WA KAMPENI JUKWAANI KUPAMBANA NA NGUVU YA UMMA YA CCM NA NDIYO MAANA ANAUZA NAFASI YA UGOMBEA U RAIS KWA KINA LOWASA
 
NA ANAJUWA KABISA HANA UBAVU WA KAMPENI JUKWAANI KUPAMBANA NA NGUVU YA UMMA YA CCM NA NDIYO MAANA ANAUZA NAFASI YA UGOMBEA U RAIS KWA KINA LOWASA

Ccm sio chama cha siasa bali kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
 
Ccm sio chama cha siasa bali kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
mnatakavyoona ila ccm ndiyo inatawala nchi nyie ni kikundi fulani cha kihuni kinachoongozwa na mhuni mbowe na mashoga wengine wawili walioko nje
 
mnatakavyoona ila ccm ndiyo inatawala nchi nyie ni kikundi fulani cha kihuni kinachoongozwa na mhuni mbowe na mashoga wengine wawili walioko nje

Inatawala ccm au vyombo vya dola? Hayo majizi ya kura hayana uhalali wowote wa umma.
 
Inatawala ccm au vyombo vya dola? Hayo majizi ya kura hayana uhalali wowote wa umma.
nchi yoyote hata chadema wangekuwa na uwezo wa kushika madaraka vyombo vya dola ni lazima wawe navyo viwalinde nchi bila chombo cha dola nani alikuambia acha uhuni kama wa mbowe
 
nchi yoyote hata chadema wangekuwa na uwezo wa kushika madaraka vyombo vya dola ni lazima wawe navyo viwalinde nchi bila chombo cha dola nani alikuambia acha uhuni kama wa mbowe

Jifunze matumizi ya koma, nukta na herufi kubwa, ndio uje uvamie post za wanaume dogo.
 
Nimeona kuna hoja kuu mbili zenye kutumika humu kupendekeza Mbowe aendelee na nafasi yake.

a)Mbowe ni mvumilivu na hanunuliki kwa sababu amepitia amepata misukosuko yeye binafai pamoja na mali zake ila hadi hajakubali kununuliwa amekomaa, hivyo hadi sasa hajaonekana mwengine hapo Cdm ambaye anaonekana kama ataweza kuvumilia hii misukosuko ya aina hii na bado akaendelea kuvumilia na kuuza chama.
b)Mbowe ana hekima na busara hivyo ameweza kuepusha machafuko nchini kwa maana angekuwa mwengine pengine angeshaingiza vijana barabarani na kusababisha machafuko nchini hivyo Mbowe ameishikilia amani ya nchi.

Mkuu hoja hizo unazizungumziaje?

Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi miaka 10. Sina tatizo na mawazo ya watu wengine na ninayaheshimu. Lakini msimamo wangu kuhusu mtu kutokukaa kwenye cheo kimoja kwa zaidi ya miaka 10 haubadiliki.[/QUOTE]

Eti nini? Mbowe hanuniliki!!!!

Hii ni FUTUHI kama FUTUHI nyingine.

Mbowe alishafika bei kitambo tu, ila ni katika namna ambayo wewe na 'wenzio' hamuwezi kung’amua kirahisi…. hata usiku utapokwisha.

Kama una ubongo huru, pitia upya mienendo yake utarejea msimamo wako…. nimesema sio kirahisi kung’amua.
 
Mimi ni mfuasi wa mageuzi ndani ya nchi hii ila niseme ukweli wa principle ya dictetor yeyote, watu wanaomzunguka huwa hawamwambii ukweli na uwa wanamkimbia pale maji yakiwa shingoni hivyo natoa ushauri sio tu kwa Mbowe.

Watu wote wenye mamlaka ya kiuongozi jaribuni kuwa mnatoka na kwenda kusikiliza Umma unataka nini juu ya uongozi wenu.

Ndicho kinachofanyika kwa Mbowe watu walio karibu yako wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila ukweli wanaujua wewe umechoka hauna tena jipya ndani ya chama wao wanakushauri upuuzi ili waendelee kula ruzuku sasa subiri 2020 ruzuku ikipungua jinsi watakavyokubadilikia.

Mbowe Jiangalie ondoka kwa heshima kama kweli CHADEMA ni taasisi toka nenda mtaani sikiliza watu halisi wapenda mabadiliko ya kweli sio wapambe.
Amesha kuambia anapumzikia kesho kutwa,ili umpandikize Mzee Mdee kuwa m.kiti wa chama chake kwani mmeamua kumbeba Kwa mbeleko la chuma 🚶
 
Back
Top Bottom