mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
dah ungesubiri hata kawiki kapite tungekuamini kuwa haujatumwa na magamba!
ukisoma vizuri points za huyu jamaa 25% zinataka kuwa kweli lakini 75% zina ukakasi.....inawezekana kabisa magamba yamemtuma!
25% = shibuda ni kiongozi mzuri ila ukimfuatilia vizuri bado anayakumbuka na kuyapenda magamba! yeye kuwepo cdm kwa kiasi kikubwa aligundua kuwa wananchi bado wanampenda sasa akaamua atokee wapi!!
75% = sikweli kuwa lema na mbowe wana nia mbaya ni gilba tu za wasio wapenda!