Mbowe na Lema Kwisha habari

Mbowe na Lema Kwisha habari

Status
Not open for further replies.
Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)


Wizara ya Afya imetanabaisha kuwa Ugonjwa wa Fistula ukiwahiwa unatibika...

Kazi kwako yakhe...
 
naona unaleta upuma kwenye mambo ya msingi i wish i could meet you ningekupeleka ahera magengeni.
 
utafiti umeonyesha kuwa korosho na karanga kutoka Tanzania ni hatari kwani zaweza kuleta kansa ya ini.
Jihadharini sana kutumia karanga na korosho huku ukigida viroba.

Eti least umeleta habari ya maana. Niliingia huku nikidhani anasema Mbowe na Lema wamekamatwa au ... Nikakuta ni umbea tu.
 
Usiseme watanzania wenzangu, sema MAFISADI WENZANGU

Ha ha haa hapo umenena mkuu jamaa jinga kweli amekosa kitu cha kuongea, kaanzisha threand bila kufikiria aandike nn cha maana, Mbowe na Lema wamekwishaje? Upuuzi mwingine.
 
Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)

Nape je?Mwizraeli?
 
Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)

kwani Mbowe ametangaza kuwa hana uhakika na alichokitamka...?
Nipe sababu kumi za kumpuuza Mbowe..,nitakupa ishirini za JK...
Mojawapo ni kuwa yeye kama Rais hajui kwanini Watz ni masikini...
 
anatutafutia ban makalio huyu.!hivi ndivyo vitoto vilivyomaliza fm4 mwaka uliopita,aishukuru necta kwa kum-risitia,akapata points 34.!
Bora hata angepata hiyo div 4 ya 34 labda angekuwa na akiri kiasi furani.Kama hata namba yake ya mtihani ilikuwa inamsumbua kuiandika ilhali ilkuwa imebandikwa kwenye meza yake,,mnategea wana JF mtu kama huyu atoe posts za maana?.HUYU ANACHOKIWEZA NI KUPIGA CHABO TU.
 
Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)

Nani mwenzako mwenzako ni mkeo
 
Mkuu, heading yako na content haviwiani. Next time usikurupuke please, hayo majina uliyotumia hapo juu yana draw attention sana, so ukiweka majina kama hayo katika heading then ndani umeweka ujinga matokeo yake unadharaulika na kutukanwa kama hivyo.
 
Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)

.
Kabla ya kuwapuuza ni lazima kwanza ukweli ujulikane ni nani aliyekuwa anamiliki lile bomu na risasi walizomiminiwa wahanga. Ni rahisi sana kugundua hili ukizingatia kwamba serieo NO za bomu na risasi zinajulika na ni wapi zilitengenezwa. Hapa mnunuzi ni rahisi sana kujulikana. Badala yake mtu mwenye kichwa cha uenda wazimu kama Kagonjwa badala ya kutumia hizi technical terms anapumua siasa tu ndani ya jeshi la Polisi. INAUMA SANA WADUGU.
.
 
wewe munauwa watu halafu munaleta maneno huu uzi wako ilikuwa umuhadisie mkeeo au shangazi yako
 
Kama huna hoja kwa nini unaandika?
Yaani kuwa na access ya internet inakuwa nongwa?
Unachoandika wewe hapa ndo kinaitwa Kubwabwaja.
Zip up!

Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)
 
!#$#E%$%$%&*&(^^&$%$%^^&^$$@%^%^$#^%&^%$%&^*(&()(*)()(&^&^$$!@@^^(*%%$@%^^*%$@$$&^%%#%$#%%^^&*&%%$#%&*^*^&^$%$^%&^&^*^^&%$^^$%^***na familia yako yenye akili kama zako @#$%!&***&^$%#@@##$%^$^%%&^*(&^*vu
:kev::kev::kev::kev::kev:
:heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh:
a;6628996]Tukio la kigaidi jijini Arusha limeshtua umma wa watanzania kutokana kusababisha maafa kwa watu wasiokuwa na hatia yoyote.Inasikitisha sana wanasiasa kama Mbowe na Lema kuanza kubwabwaja kuhusu aliyesababisha mlipuko bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.Watanzania wenzengu ninawaombeni tuwapuuze hawa wanasiasa haswa Mbowe na Lema(wapalestina)[/QUOTE]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom