utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
mtoa mada,alichokitaka amekipata
Good comments!
mi nawahurumia hawa watoto wanaotukana, mungu awasamehe kwa ujinga uliowajaa kwenye nazi zao
mtoa mada,alichokitaka amekipata
Good comments!
anatutafutia ban makalio huyu.!hivi ndivyo vitoto vilivyomaliza fm4 mwaka uliopita,aishukuru necta kwa kum-risitia,akapata points 34.!
Kama habari kwisha kazi mbona unaomba tuwapuuze?
Mkuu sasa hekima ya mbowe iko wapi hayo macho na fikra zako unazitumiaje, aaaaaaaaaaaaa mkuu tafdhari.Umeambiwa hakuna uhakika?? Ushahidi upo utatolewa mahakamani, watu wenye hekima hawapeleki ushahidi youtube ama hapa jukwaani! Watu hawa waliojaa ytashi ushahidi unatunzwa kwa ajili ya mahakamani! Wenye yshahidi qa kuyngaunga kama wakina Mwigulu ndio huwa wanahaha humu jamvini na youtube
Mkuu kwani ccm ndiyo imelipua mzee wako mbowe sikasema polisi wewe tena unasema ccm sasa tuwaeleweje?Mleta uzi wewe ni mbulula tuu, kwa taarifa uako ccm ndio inazidi kuchukiwa na wananchi.yaani mlivyo lipua na kuuwa watu na mabomu ndio mmezidisha chuki kwa wananchi.mtachukiwaa mpaka lichama lenu likufie mbali.wapumbavu wakubwa nyie maccm wauwaji msio na huruma.
Pale hakuna kamanda yeyote ni watu wa ajabu tu wala hawana cha maana hata kimoja.mkuu umesema jambo la msingi sana..hawa makamanda feki ni wa kupuuzwa tu
Mi nakuongeza na wewe make huna lolote la maana hapo.Katika pita pita yangu kuwatafuta wapuuzi siku ya leo, nimekuona wewe kupitia uzi huu hivyo ninakupuuza wewe!