nimekuw nikisikiliza kauli za majukwaani na sehemu mbalimbali wanasiasa wa chadema kina mbowe,lema ,tindu lisu kuwa hawaogopi kufa wako tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watz...
mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..
wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.
jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....
mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..
wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.
jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....