Mbowe na Lema: Kweli hamuogopi kufa/kifo??

Mbowe na Lema: Kweli hamuogopi kufa/kifo??

hapo penye red tafadhali fanyia marekebisho. Lema alikimbilia kwenye banda la nguruwe eti na yeye akajifanya kuwa ni kitimoto. kuanzia hapo ndipo lema akabatizwa jina jipya la KITIMOTO

tumewazoea machadema na matusi yao. Ila ukweli wanaupata

lengo ni kuwatahadhalisha watanzania ili msidanganyike na hawa wanasiasa vihiyo

yaani hapa tanzania hakuna wanasiasa waoga kama wa chadema. Nakumbuka siku mbowe anasafirishwa kwa ndege toka dar kwenda arusha suruali yake ililowa mbele na nyuma. Sikutegemea kama atarudia tena kamchezo haka ka kuropoka. Ila ndo maana safari hii hakukimbilia dar maana kulichofanyika toka dar hadi arusha ndani ya ndege anakijua mwenyewe

naona hujamwelewa vizuri. mathalan, wakati juzi akina arfi na lissu wakipambana na polisi, mbowe na lema walikuwa wamesepa. lema aligeuka kuwa nguruwe na mbowe alijigeuza kuwa kichaa pale alipovaa kaptula iliyochanika na kukimbia nduki ili asikamatwe.

naona umeanza. wenzako watafuatia

hakuna mwanasiasa jasiri ndani ya chadema na uchagani. fuatilia tu utanambia. ni waoga wa kukamatwa hao maana wanajua shughuli za mkong'oto wa polisi

mwanasiasa gani kati ya lema na mbowe utawalinganisha na lukuvi na nchemba? acha mapenzi mabaya wewe. utapata mimba isiyotarajiwa bure

Unaanzisha thread halafu unaamua kuijaza mwenyewe huoni kama huo ni upumbavu?
 
Mkuu kumbe kufa ni kuwaandalia wengine vifo bila kujali familia zao zitakavyoathirika.

kweli fadhila mfadhili mbuzi utakula nyama binadamu atakuroga kumbe ndiyo maana chadema wanafanya fujo kwa sababu wanajua wao viongozi watakwepa wanachi ndiyo watakao husika na vifo kazi kweli.

Nani kawaandalia kifo wengine....? hivi jukwaa hili limevamiwa na vijana wa daraja sufuri au?
Maana komenti kama hii ni aibu na fedheha kubwa kwa vijana wa Tanzania.
 
Mnajitesa bure tu, Mnajitia aibu tu, Mnajifariji tu.
Laiti kama nguvu hii japo ni ya urojo mngeipeleka kwenye kutetea rasilimali zetu, (bila kuhama chama) Tungefika mbali.... Me nadhan hamna haja ya kubwabwaja tena maana tayari PINDA keshaamuru watu wauwawe waziwazi, sio tena kung'oa kucha na meno maana watu wameshazoea na serikal imechoka kufanya hivyo bora kutandika risasi tu.
 
nimekuw nikisikiliza kauli za majukwaani na sehemu mbalimbali wanasiasa wa chadema kina mbowe,lema ,tindu lisu kuwa hawaogopi kufa wako tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watz...

mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..

wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.

jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....

Ulikuwepo viwanja vya Arusha wewe?
 
Wanasiasa wa Chadema ndivyo walivyo. Wanachochea watu ili wauwawe halafu wao wapate cha kuongea.

Wajibu wa serikali ni kulinda raia na mali zao....lakini Tanzani hii wenye mamlaka hayo yaani polisi...ndio majambazi,ndio wauaji,ndio wabambika kesi,na ndio wanaowatia umaskini wengine....na kwa udhalimu wote huu ni wadhalimu na wanaofaidika na udhalimu wamefumba macho pia kuziba masikio....na badala yake wanatoa komenti kama hii yako dada........!
 
mandela hakuogopa ila mbowe na lema ni waoga. pia mandela hakuwa kihiyo ila lema na mbowe ni vihiyo wa kutupwa

Kama ni vihiyo, kuna haja ya kutumia mabomu kwenye ishu ndogo? Raia wasiokuwa na hatia wala silaha!
After all Wazungu walimwona mandela si kama kihiyo tu, bali nyani! Hivyo waliamini nyani (african) hawezi komboa nchi!

Mlishindwa kujivua gamba, mtavuliwa kwa nguvu!
 
nimekuw nikisikiliza kauli za majukwaani na sehemu mbalimbali wanasiasa wa chadema kina mbowe,lema ,tindu lisu kuwa hawaogopi kufa wako tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watz...

Mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
Naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. Sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? Mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..

Wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.

Jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....

siamini kama una akili timamu.yaani kusema hawaogopi kufa basi wajipeleke kwenye bomu. Com on
 
yaani hapa tanzania hakuna wanasiasa waoga kama wa chadema. Nakumbuka siku mbowe anasafirishwa kwa ndege toka dar kwenda arusha suruali yake ililowa mbele na nyuma. Sikutegemea kama atarudia tena kamchezo haka ka kuropoka. Ila ndo maana safari hii hakukimbilia dar maana kulichofanyika toka dar hadi arusha ndani ya ndege anakijua mwenyewe

Serikali ambayo 50%+ ya bajeti yake inategemea kuomba kwa wahisani inatumia ndege kumbeba mtu mmoja toka dar hadi Arusha? halafu kesi yenyewe hata haieleweki kweli haya ni #majanga
 
Kwkwkwkw!! Banda la nguluwe uongo huo

"To know the enemy is half the victory"
 
Unaelewaje maana ya kutokuogopa kufa? Kama wangekuwa wanaogopa, basi baada ya kukoswakoswa mara kadhaa na kupewa misukosuko isiyokwisha wangekuwa wameshaamua kukaa kimya kama watawala wanavyo taka. Au ungewaona washa jilengesha na kutangaza kujiunga na CCM.
Pale Soweto baada ya lile bomu ambalo kimsingi lilimlenga Mbowe na Lema,hawakuwaacha wahanga peke yao. Kama tulivyo ona ile video walishiriki katika uokoaji licha ya taharuki kubwa iliyokuwo pale. Penda usipende hawa ni makamanda wa kweli na ni mfano bora wa viongozi.

Nyongeza ya hapo kama wewe ni lioga la kufa usituletee hapa habari zako sisi tumeshajitoa muhanga kwa ajiri ya ukombozi wa nchi yetu. Mwoga kamwe hawezi kuwa jasiri wa mapambano. Tuko kwenye mapambano na hatukuhitaji wewe wala ushauri wako
 
UOGA NDIYO DHAMBI KUBWA NA MBAYA KULIKO ZOTE ! Halafu ni AIBU kubwa sana kwa kijana mwenye HISIA kama wewe kuja humu jf kusambaza uoga ! Kuelekea ukombozi wa kweli wa nchi hii ni kama vile ' kwenda nyumbani ' MWENDA KWAO HAOGOPI GIZA (CHAGONJA ) , Ukiwaangalia Masikini wengi wa nchi hii ni Waoga , na ukumbuke kuwa umasikini ni dhambi mbele za Mungu , kama ulivyo uoga .
 
nimekuw nikisikiliza kauli za majukwaani na sehemu mbalimbali wanasiasa wa chadema kina mbowe,lema ,tindu lisu kuwa hawaogopi kufa wako tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watz...

mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..

wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.

jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....

Computer kwako bado ni kitu adimu sana.Usipende kutumia computer ya kuazima kwa basha wako ina matatizo yake hiyo!!!!!!!!!!!!!!.Kama anaku mind mwambie akununulie yako.Ni madudu gani sasa uliyoandika hapo juu?.
 
Wachawi wa nchi hii mnafanya nini /? Kwa nini msiroge haya majitu yanayotujazia utumbo humu
 
Kutokuogopa kufa haina maana ni kujipeleka kwenye kifo kizembe huku kukiwa na njia za kujiokoa,.ni sawasawa na wewe kusimama katikati ya high way na magari yanapita kasi useme huogopi kufa,.Kitendo cha kukubali kuongoza chama kukabiliana kila siku na dola iliyojaa police waovu, usalama wa taifa wasiojua maadili ya kazi,.na serikali yenye mawazo maovu dhidi ya upinzani ni sawa na kutakuogopa kufa!Hata vitani askari hutakiwi kuogopa kifo ila hutakiwi kufa kizembe,..kuna ku retreat na kujipanga upya! wewe ulitarajia liliporushwa bomu Mbowe au Lema ajitupe kwenye bomu au Risasi ndio ujue hawaogopi kufa??Think before you post your rubbish here!!Kash kash wanazopata viongozi wote wa upinzani pamoja na familia zao ni dhahiri kifo kwao ni saa yoyote!
Mkuu umeongea point moja nzuri sana.ni kweli huwezi kufa kizembe ni lazima ujitetee kama mwanaume.ukwel ni kwamba chadema ni makamanda tena makamanda wa ukweli.kila kukicja ni' wao na policcm , policcm na wao we unafikiri hiyo ni kazi ndogo? Kuwekwa rumande kila mara, kupigwa...ninakubaliana na kauli yao kuwa hawaogopi kufa means watatetea wananchi na ikitokea bahati mbaya policcm wabahatike kuwauwa basi wako tayari kufa.sasa huyu mleta uzi anaongea pumba kwa kutumia masaburi stupid!
 
nimekuw nikisikiliza kauli za majukwaani na sehemu mbalimbali wanasiasa wa chadema kina mbowe,lema ,tindu lisu kuwa hawaogopi kufa wako tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watz...

mi mbona naona hii kauli nikuwadanganya watanzania waonekane ni wapiganaji wa kweli kumbe mioyo yao wamejaa uongo na ulaghahi mkubwa mbele ya wananchi.
naomba niwaulize hawa viongozi wa cdm wanaotangaza kila kukicha kuwa hawaogopi kufa .. sasa kama kweli mbona wakati bomu limerushwa wao tayari walikuwa wamekimbia??? mbona wakati polisi wanarusha mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa chadema mbowe na lema walikimbia na kwenda jificha hotelini na kuwaacha wananchi wanataabika kwa mabomu ya machozi..

wanasiasa wa chadema acheni uwongo wa mchana kweupe hamna nia ya zati toka mioyoni mwenu ..mmuongeacho hamkiishi hata kidogo lengo leni ni kuwaumiza na kuwaingiza wananchi kwenye matatizo.

jiangalie upya kauli zeni na matendo yenu ....

Kafie mbali huko,Hujui kuwa kufa kabla ya ndoto yako kutimia ni dhambi.Ok,all in all Kufa ni haki ya kila mtu hakuna atakayeishi milele katika uso huu wa dunia.Ni aibu kufa kabla ya ndoto yao ya ukombozi haijatimia na aibu mara nyingi hukimbiwa.
 
Back
Top Bottom