Mbowe na CHADEMA wabadili gia angani, Watangaza Kumuunga Mkono Uhuru Kenyatta



Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.

Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao

Sasa huyo alipowageuka tu ndo wakaona hafai na Kenyata sasa anafaa.maana yake sela zao za kumuunga mkono mpinzani wa Kenyata nyakati zile zilikua ni za kuwahadaa wananchi kua watafanya hili na lile ktk nchi.kama hivyo ndivyo hata hapa nchini hawafai hata kidogo.ndiyo maana kwao ni rahisi kusema huyu ni mwizi na kesho yake wakasema mwizi ametubu tumchague.CCM isonge mbele
 
Hawa watu wanaofanyia mikutano mahotelini ndio wanaibuka na hoja za kijinga jinga namna hii!
 
wanasiasa wanaobadili gia angani ni wengi.
kama yule aliyetugeuka na kusema hatafukua makaburi na kusababisha mahakama ya mafisadi kukosa 'wateja'.
 


Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.

Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao

Nilidhani Chadema ni chama na kinaunga mkono Chama kingine lakini hapa naona kiongozi wa chama anamuunga mkono kiongozi wa Jubilee kwa kupitia chama chake sababu Lowassa anamuunga mkono rafiki yake Uhuru kazi kweli kweli. Katibi wa Chadema alipoulizwa kabla alisema hajui
 


Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.

Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao

Kweli Tz hakuna chama kikuu pinzani bali kuna wachumia tumbo! Hivi isingekuwa Lowasa kusema mapema kama anamuunga mkono Rais Kenyata, kweli hawa Chadema kupitia mwenyekiti wao Mbowe wangeutangazia uma wa watanzania na ulimeengu leo kuwa wanamuunga mkono Kenyata??. Mzee Lowasa, Waburuze hao hao mpaka waombe poh.
 
Vijana wa siku hizi wavivu sana kujisomea. Haya mambo ni ya kawaida sana katika siasa. Nyerere kwa miaka 8 alimuunga mkono Obote kwa gharama zote arudi madarakani. Baadaye akamtosa na kumuinga mkono Museveni. Pia alimuunga mkono sana Savimbi baadaye akahamia kwa Neto.

Hakuna formula katika siasa.
 
Vijana wa siku hizi wavivu sana kujisomea. Haya mambo ni ya kawaida sana katika siasa. Nyerere kwa miaka 8 alimuunga mkono Obote kwa gharama zote arudi madarakani. Baadaye akamtosa na kumuinga mkono Museveni. Pia alimuunga mkono sana Savimbi baadaye akahamia kwa Neto.

Hakuna formula katika siasa.
Wakamchuku Fisadi waliyemuhubiri kwa miaka Mingi!
 
Mara ya kwanza CCM walikuwa wanampiga virungu Lipumba lakini sasahivi wanamuunga mkono.
 
Haya ndiyo maneno aliyoyasema Mbowe kumsema Raila Odinga, binafsi nimeshtushwa sana na Mbowe kutumia neno ,,Msaliti" dhidi ya Raila Odinga kwangu mimi ni neno zito sana, Mbowe anasahahu labda Raila Odinga anashirikiana na nchi mbali mbali Duniani, ana marafiki Dunia nzima, hivyo wewe Mbowe kumuita Msaliti tena kwenye Gazeti la nchi yake siyo kuwa smart, angetoa tu sababu kama vile labda sera za Uchumi za Uhuru Kenya zimemvutia yeye kama chama au labda mambo ya demokrasia n.k. lkn kusema sababu ni Usaliti wa Raila Odinga hapo kwangu amekwenda mbali sana Mbowe!

Wakenya wanaosoma hili Gazeti watashindwa kuelewa na siajabu hata kuzidi kumdharau Mbowe...

,,We supported Raila Odinga during the 2012 elections in Kenya but to our surprise, when it came to the 2015 polls in Tanzania, he supported the CCM candidate, Dr John Magufuli. Odinga is a traitor,
’’ said Mr Mbowe.

Tanzania party backs Uhuru
 
Haya ndiyo maneno aliyoyasema Mbowe kumsema Raila Odinga, binafsi nimeshtushwa sana na Mbowe kutumia neno ,,Msaliti" dhidi ya Raila Odinga kwangu mimi ni neno zito sana, Mbowe anasahahu labda Raila Odinga anashirikiana na nchi mbali mbali Duniani, ana marafiki Dunia nzima, hivyo wewe Mbowe kumuita Msaliti tena kwenye Gazeti la nchi yake siyo kuwa smart, ...

,,We supported Raila Odinga during the 2012 elections in Kenya but to our surprise, when it came to the 2015 polls in Tanzania, he supported the CCM candidate, Dr John Magufuli. Odinga is a traitor,
’’ said Mr Mbowe.

Tanzania party backs Uhuru
Kijiko ni kijiko, siyo koleo!
 
Haya ndiyo maneno aliyoyasema Mbowe kumsema Raila Odinga, binafsi nimeshtushwa sana na Mbowe kutumia neno ,,Msaliti" dhidi ya Raila Odinga kwangu mimi ni neno zito sana, Mbowe anasahahu labda Raila Odinga anashirikiana na nchi mbali mbali Duniani, ana marafiki Dunia nzima, hivyo wewe Mbowe kumuita Msaliti tena kwenye Gazeti la nchi yake siyo kuwa smart, angetoa tu sababu kama vile labda sera za Uchumi za Uhuru Kenya zimemvutia yeye kama chama au labda mambo ya demokrasia n.k. lkn kusema sababu ni Usaliti wa Raila Odinga hapo kwangu amekwenda mbali sana Mbowe!

Wakenya wanaosoma hili Gazeti watashindwa kuelewa na siajabu hata kuzidi kumdharau Mbowe...

,,We supported Raila Odinga during the 2012 elections in Kenya but to our surprise, when it came to the 2015 polls in Tanzania, he supported the CCM candidate, Dr John Magufuli. Odinga is a traitor,
’’ said Mr Mbowe.

Tanzania party backs Uhuru
Kama walimsaidia kisha 2015 akawageuka we unadhani neno zuri ni lipi la kumwambia kama si MSALITI.
Usipende kumung'unya maneno kijana.
 
mbowe siku zote ndiye anaye kipa chama sifa mbaya na mwelekeo usio na msimamo
 
Back
Top Bottom