Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.
Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao
Why Leaders are very powerful to drive followers on any direction they want them to go!!!
Vipi Chadema mnaunga kufinyangwa upinzani Afrika....Mnakata tawi mlilokalia.?Na magufuri anamuunga mkono odinga,shida ipo wapi?
Leo wapo kuumbuka.Tukisema Mbowe kaishiwa kimawazo watu wanatuona sisi ni wasaliti
Umepoteza uelewa kama ccm ilivypoteza mvuto na hiyo ndiyo shida ya vyeti fekiChadema ni chama cha ajabu na kikichopoteana sana......mnaunga mkono chama Tawala...mnaunga mkono wizi wa kura.?
Mkuu tupe maoni yako kuhusu maamuzi ya mahakama huko Kenya....Umepoteza uelewa kama ccm ilivypoteza mvuto na hiyo ndiyo shida ya vyeti feki