Mbowe na CHADEMA wabadili gia angani, Watangaza Kumuunga Mkono Uhuru Kenyatta

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224


Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.

Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao
 
Magufuli ataleta sintofahamu katika mahusiano ya kidiplomasia na Serikali ya Kenya kama ataonesha nia ya kumuunga mkono Raila.
Uhuru hatoshindwa katika uchaguzi wa Agosti na ataona aibu watakapokuta kwenye vikao vya EAC. Muda ni mwalimu mzuri wakati wote
 
Back
Top Bottom