@Aminangalo
Bila shaka utatakiwa kutoa ushahidi wa habari ya uzushi kama hii. Muda huu, Mkiti wa Taifa, Freeman Mbowe yuko kwenye kikao. Hakuna kitu kama hicho ulichoandika.
Mimi mwenyewe nashangaa sijui mods wako wapi, haiwezekani uzi unaokiumbua chadema uachwe hapa muda wote huu......mods fanyeni kazi yenu
Mkubwa tumiaga kichwa na usitumie kubebea nywele tu!
Yaani lumumba project wanashida sana
Hii Saccos ya Wachaga ina mwisho wake tu.
We kichwa cha kufugia nywele achana nami, wewe hujijui kuwa hujui hivyo ni janga kwa taifa hili na huna thamani kabisa kwa Tanzania hii. PevukaTatizo umevurugwa mpaka umechanganyikiwa yaani hata huoni,huambiliki na walq hushikiki!!,yani wenzakomwnaonewa kwa kudai haki halafu wewe unaingiza mambo ya buku saba!unajuq watu ambqo hawajajitambua kama wewe ni majanga makubwa sana kwa nchi,hivi kama kaka zako wakina Mwita Maranya wanaona kuna tatizo mpaka wanaanzisha post humu ndani wewe ka kinanihiiiiiiiiii tu unaleta ujinga?!
Mimi mwenyewe nashangaa sijui mods wako wapi, haiwezekani uzi unaokiumbua chadema uachwe hapa muda wote huu......
Mantiki ya kiongozi mpaka apigwe siioni kwani mtu kusimamishwa uongozi hadi apigwe?
Wewe huna akili chama kinaongozwa kihuni na kibaguzi halafu unashabikia au wewe ni miongoni mwao hao wavunja sheria na kanuni.We kichwa cha kufugia nywele achana nami, wewe hujijui kuwa hujui hivyo ni janga kwa taifa hili na huna thamani kabisa kwa Tanzania hii. Pevuka
Umesema vema kwa sasa ongezeni kipengele cha kupigana kwenye vikao kiwe wazi kwenye katiba ya chadema ili kila mtu akienda mkutanoni awe na zana za kutosha kujilinda kivita au kimapambano,Sio lazima na sio haki! Ila usipotii amri bila shuruti basi utashurutishwa! Hata polisi wanaijua hii dhana vizuri tu!
Mwigamba kuna mambo mengi alikataa moja wapo kutoa hiyo laptop yake, kutoa maneno ya kejeli na matusi, kukataa kutoka nje kwa amri ya mwenyekiti...ulitaraji nn km sio kutumia nguvu kumtoa nje? Na pia yeye ndo alikua wa kwanza kurusha ngumi, ulitarajia nn kitatokea? Think tank!
weka picha
Kuchangia maada ya kipuuzi nawe unakua mpuuzi,kwa kua nimechangia nami huenda ni mpuuzi,lakini kwa kua nimegundua upuuzi wa mleta uzi huu nami naishia hapa ili nisiwe mpuuzi zaidi.
Mwita Maranya na wenzako toka juzi mapaka leo mnakataa yaliyotokea huko arusha mnataka ushahidi gani tenaaminangalo
Bila shaka utatakiwa kutoa ushahidi wa habari ya uzushi kama hii. Muda huu, Mkiti wa Taifa, Freeman Mbowe yuko kwenye kikao. Hakuna kitu kama hicho ulichoandika.
UPDATE - Oktoba 27, 2013
Kutoka Mwananchi:
Wewe huna akili chama kinaongozwa kihuni na kibaguzi halafu unashabikia au wewe ni miongoni mwao hao wavunja sheria na kanuni.
Kichwa cha habari "Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi"......IKULU WATAIWEZA HAWA? VIKAO VYAO NGUMI. BUNGENI NGUMI, MIKUTANO YAO NGUMI nawaogopa zaidi ya ukoma.