Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

Status
Not open for further replies.
Wakuu mimi nina mawazo tofauti kidogo,

Inawezekana kabisa Lowassa wa sasa ni tofauti na wa miaka ileee na inawezekana pia na yeye leo ufisadi unamkera kama unavyokukera wewe na ameshagundua kuwa ndio utakaomfanya akose urais lakini anashindwa aanzeje kuukemea.

Tumpe muda labda kuna siku atafunguka na kuweka yote wazi ambapo kila mtu atabaki kushangaa kumbe tumdhaniye ndiye siye.

Kwa hiyo unataka tucheze mchezo wa cheupe... chekundu... tukikosa imekula kwetu, au sijakuelewa?
 
Kweli hafai, watanzania wakikubali kununuliwa kwa hela watajua wenyewe, mgombea anatisha kwa hela na wala sio mfanyabiashara
 
Pia kwenye bunge la katiba alikuwa bubu,kwahiyo hatujui nini msimamo wake,nitawashangaa sana ccm wakimsimamisha huyu jamaa yake Pasco kuwa mgombea wao.

Hivi Lowasa ni mzima wa akili kweli??
Mtu yupoyupo tuu.anachoongea hakielewek hoja anazojenga hazielewek.msimamo wake hauelewek.
Utasikia vijana ni bomu litakalolipuka..sasa unajiuliza huyu mtu ni mbunge ametoa ushaur gan ili bomu lisilipuke hamna lolote.......simwelew kabisa huyu mtu.km kwel atachaguliwa na chama chake.Hapo ndipo ntzd kuamin kuwa MONEY CANT BUY ONLY LIFE
 
Wee listen mm naandika all truth...sio kama ww unaleta umbea na uongo kama Nyoka la ndimu, wala hamuuziki...

Mengine ni haya...

Membe wako hafai, muongo kama ww..!!

Mbowe ni Lover boy tu, wa kisiasa na jamii, Juzi bungeni, just 9 days ago, Mbowe huyu huyu, kasema Lowassa ni safiii, na kiongozi wa kuigwa, na kusema Richmond Lowassa hakuchukua hata shilingi, ni makundi adui ndani ya CCM yaliwajibisha kutaka Uwaziri Mkuu, akaendelee kusema, Bunge lilipotoshwa kuhusu Richmond, ila Lowassa kwa KUONYESHA UKOMAVU WA KISIASA, UONGOZI BORA NA DEMOKRASIA ya hali ya juu aliwajibika kutokana na watumishi wa chini yake, huyu ni mfano wa kuigwa...Huyo ni Mbowe, juzi akiwa Bungeni...!!! Huku Tv zikimuonyesha na baada ya hapo Ole Sendeka akafuata akasema, Kama kuna mtu nchii hii itamkumbuka kwa uamanifu, ujasiri, utendaji kazi imara ni Lowassa, kuhusu Richmond alikuwepo ktk kamati hata kamati iliweka wazi hakuchukua hata senti tano, kila mtu anajua...huyo ni Ole Sendeka...

Sasa ww leo Mbowe, lover boy, anasema haya kama nani..!!? eboo...kasahau juzi tu alimpongeza Lowassa kama mfano wa kuigwa...Sbb ni MOJA TU....LOWASSA KAWACHOMOLEA KWENDA UKAWA....hili ndio jibu, Mbowe kaona DILI LAKE LIMEBUMA, kawa frustrated, MAANA WANAJUA LOWASSA ANGEENDA UKAWA, CCM INGEKUWA HISTORIA....hili liko waziii....UKAWA wamekaa kimyaa walingojea CCM wamteme Lowassa wamchukue kilaini, sasa dili chaji, ndio maana Mbowe alijipinda bungeni kumpongeza sana Lowassa juzi tu....

CCM mbona issue ndogo sana hii kui handle, na kumwacha Lowassa awe Rais, na CCM itatawala, CCM inajua siasa za kistaarabu, kihuni na kisasa, sasa UKAWA hawakujua hili, CCM haiwezi kuacha CHAMA KIFE sbb ya chuki binafsi, kamwe, na mambo ya kipuuzi hatutaruhusu tumkose RAIS BORA, KIPENZI CHA WATU...hii ndio CCM..!!!

Sisi tunaona ya jikoni, nyie someni magazeti...They are newz makers and news readers...!!!

Halafu, ww mwanamke player...Kuhusu mtu wako nyoka la mndimu, sahauni...nendani mkafanye uongo wenu, JK kamawamaliza juzi..kasema wazi, CCM hakiwezi mchagua mtu ASIYEUZIKA NDANI NA NJE YA CCM...kawaasa, nyakati zimebadilika, mkiambiwa hamkubali, akili ya team yako mgando, mlidhania CCM ikimpitisha tu mgombea atakuwa Rais..hilo ni OUTDATED...!!! Sasa ni CCM Lowassa tu.., hutaki, nenda Burundi...!!

duh. lowwasa kanunua wengi. yaani kwa jinsi ulivyopanic teh teh.
 
lowasa ni vizuri akapumzika na kuendelea kupata pension yake ya uwaziri mkuu mstaafu japo hakustahili. watanzania masikini wa fedha lakini matajiri wa fikra hawako tayari kuona ikulu yao inamilikiwa na mapacha watatu kamwe. lowasa sio bubu tu bali hafai kwenye taasisi nyeti kama ya urais..

Mkuu nchi hii kuna wapumbafu wengi kuliko wajinga. Jamaa anaweza kuwa Raisi wa jamhuri yetu tujipe mda. Na mimi kama mpinzani makini napenda iwe hivyo.
 
Fisadi akemee ufisadi. Sawa na ngedere aamue kesi ya mahindi.
 
Mkuu nchi hii kuna wapumbafu wengi kuliko wajinga. Jamaa anaweza kuwa Raisi wa jamhuri yetu tujipe mda. Na mimi kama mpinzani makini napenda iwe hivyo.

mkuu sikatai. wale waliopigwa upofu wa fikra kutokana na noti wanaweza mpa kura zao. ingawa mtihani mkubwa wanao ccm maana karibu robo tatu ya wajumbe wa vikao maalumu vya ccm wameshanunuliwa na huyu bwana.
 
Eti Rais Lowassa,Waziri Mkuu Chenge,Waziri wa Fedha Rostam.Duuuh!!!!
 
Kweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah pana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapifaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.

Hapa nashawishika kwa asilimia 100
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom