Buldoza
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 2,307
- 987
Kwa hili Mbowe yupo sahihi
Kwenda zako usijipendekeze. Hatukutaki huku. Rudi huko huko magambani kwenu. Watu kama nyie ndio mmesababisha mpaka magamba kuwadharau watanzania kana kwamba hawana akili na hata ukiwasimamishia jiwe toka ccm watalichagua tu, ndio maana sasa wameamua kumsimamisha fisadi.
Leo hii unajifanya za makalioni zinekucheza! Mwehu wee!!!