Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,047
- 134,346
- Thread starter
- #141
Mzee Mnafiki huyuUkawa ndiyo nini mkuu?
Mbowe kakasirika sana Lowassa aliposema mimi siami CCM kwa akili ya Mbowe alikuwa anajua Lowassa atakuja Ukawa.
Mzee Mnafiki huyuUkawa ndiyo nini mkuu?
Mbowe kakasirika sana Lowassa aliposema mimi siami CCM kwa akili ya Mbowe alikuwa anajua Lowassa atakuja Ukawa.
List of shame ilitangazwa September 2007 huyo unayemtaja yumo au hayumo?.
Yani umejuaje Kababu....tuliwaandikia thread humu mwanzo kabisa..tukifikilia watakuwa SMART kungamua kusudio la MCHEZA SINDIMBA WA CCM, wao wakaganda kusubilia uenda akaja kwao.Na CCM kwa kung'amua hilo wakawa wana nunua muda ili wasije Wakatengeneza mpasuko kwa gharama ya huyo Mwanaccm wao.
CDM walikuwa na nafasi njema sana ya KUMKANA mtajwa KABLA ye yeye kuja na DONGO la ATOHAMA CCM...wakati macho ya WATANZANIA nzima walikuwa wanajua CCM watamfukuza MWANACHAMA WAKE huyo na KUNDI lake.Yani ata kama PLAN hiyo ilikuwepo UKIMYA wa CDM/UKAWA kupangua KUTOKUWA TAYARI kumpokea MWANACCM huyo na kundi lake unaweza kuwa ULIVULUGA PLAN yote ya CCM na hivyo uenda ikajikuta INATAFUTA PLAN B.
Yani sipati picha kama CDM/UKaWA haya anayosema Kamanda wao MBOWE angeyamwaga mapema Kabisa kabla LOWASA ajasema leo hii CDM wangekuwa vifua mbele.Matokeo yake yakawa ya FISI kutembea nyuma ya mtu kusubilia MKONO wa binadamu UDONDOKE.Wamekosa POINTI nyingi sana tena sana ...manake kwenye SWALA la UFISADI wangekuwa MBELE ya CCM kwa kuonyesha kuwa ATA pale RUMORS zilipokuwa ZINAIBUKA kuwa Kuna WANACCM kindakindaki wanataka kufukuzwa na hivyo wanategemewa kupokewa na CDM/UKAWA wao wangekuwa MBELE kuwa WALIKWISHA kataa hawapokei MAFISADI na makapi ya CCM.
Tuliwaonya sana mwanzoni semeni mapema ...wakakaa kimya UKICHEKA NA KIMA UTAVUNA MABUA.Nilitoa thread hii hapa Tetesi za CHADEMA/UKAWA kupokea Watakaotemwa Na Kaango La CCM Hakika Ni Kweli.
1. Dr. Daudi T.S. Balali - sasa marehemu ?
2. Andrew J. Chenge - mgombea Ubunge kupitia CCM, Bariadi.
3. Basil P. Mramba - mgombea ubunge kupitia CCM, Rombo.
4. Gray S. Mgonja - Kaibu Mkuu mstaafu, Hazina.
5. Patrick P. R. Rutabanzibwa - Katibu Mkuu mstaafu ?
6. Nazir Karamagi - Waziri mstaafu.
7. Nimrod Mkono - mgombea ubunge kupitia CCM, Musoma vijijini
8. Rostamu Azizi - mgombea ubunge kupitia CCM, Igunga.
9. Edward Lowassa - mgombea ubunge kupitia CCM, Monduli.
10. Benjamin W. Mkapa - Raisi mstaafu, CCM.
11. Jakaya Mrisho Kikwete - mgombea Uraisi kupitia CCM
Lowasa anaitwa fisadi ,mimi sikatai ila shida ni wale wanaomwita fisadi ,wao ni akina nani kama yeye ni fisadi.
Naomba mtu mmoja mwenye kumbukumbu nzuri aorodheshe matukio ya ufisadi ya kutisha baada ya Lowasa kujiuzulu na tuone ni nani hakuwa ndani ya serikali au bunge anaegombea uraisi.
Na kama alikuepo alifanya nini kuonyesha jamii kuwa hakupendezwa na hayo.
Marafiki zake ni hao akina MSABAHA ,KARAMAI ,ROSTAM, CHENGE,sasa unategemea nin hapo ,KARAMAI mfano si yule jamaa alienda kuingia mikataba wa BUZWAGI kule uingereza,ilyo mpelekea ZITTO kufukuzwa bungeni pia nasikia ni mwanahisa wa BARIC , hao ndo marafiki wa LOWASA, inasikitisha kweli
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Mkuu tatizo lako ni chanzo au hoja?uko Timu Fisadi nini?Eti chanzo cha habari ni gazeti la Tanzania daima....!! Kwi kwi kwi kwi kwi