- Thread starter
- #41
Mwenyekiti kaomba "poo".....
Hii bagosha
Unawasikiliza kina Kamanda Asiyechoka shingoni:
kuwa ndiyo wasemaji wake au wa CDM?
Mambo iko huku:
Tambua nia njema ya siasa za kistaarabu imekuwa ikipotoshwa na wanyoa viduku na wenye kutupia jezi za Yanga Afrika hawa:
Kumbuka mama katamka ,hii nchi ni yetu sote.
Nani kama Mama?
Ishindwe na ilegee timu hii:
Au nasema uongo ndugu zangu?