Wakuu,
Leo na sasa hivi mzee wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yupo Mjini Bukoba akiendesha operation ya kufungua matawi na kufunga bendera katika maeneo ambayo awali wenye kumiliki maeneo hayo walikuwa wana CUF.
Hadi sasa hivi nipo hapa kwenye cafe na nje pamefurika watu wakishuhudia Mbowe akivunja vijiwe vyote vya CUF na kusimika CHADEMA.
Anaongozana na mwanachma wake mpya Lwakatare.
Lakini kikubwa ninachokina hapa ni kuwa kuna maandamano pia ya wana CCM eti wanapokea Beno Malisa, yani hapa ni SIASA kwa mtindo mmoja jamani waombee wana Bukoba
Chao
Leo na sasa hivi mzee wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yupo Mjini Bukoba akiendesha operation ya kufungua matawi na kufunga bendera katika maeneo ambayo awali wenye kumiliki maeneo hayo walikuwa wana CUF.
Hadi sasa hivi nipo hapa kwenye cafe na nje pamefurika watu wakishuhudia Mbowe akivunja vijiwe vyote vya CUF na kusimika CHADEMA.
Anaongozana na mwanachma wake mpya Lwakatare.
Lakini kikubwa ninachokina hapa ni kuwa kuna maandamano pia ya wana CCM eti wanapokea Beno Malisa, yani hapa ni SIASA kwa mtindo mmoja jamani waombee wana Bukoba
Chao