Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Hizi ni picha za Mh Mbowe akiwa mjini Bukoba juzi. Inasemekana alihutubia mikutano kadhaa katika kata mbalimbali za mji wa Bukoba na kuvuna wanachama wengi waliokuwa wakinunua kadi kwa shilingi 500 tu. Na inasemekana anatembelea wilaya zote za mkoa wa Kagera. Kitu sijui je vijijini atafika? maana viongozi wa vyama vya siasa ikiwamo sisi m..... huishia mijini tu!