Mbowe karudi CCM kimya kimya?

Mbowe karudi CCM kimya kimya?

Ingekua mtu akipost kitu anatoa pesa. Post nyng zngekua za msingi humu.
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Umepuyangaaa kinyamaaa[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Sio kweli unachokisema na kwenda kwenye msiba sio hishara ya kurudi ccm
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.

Eddy natamani akili yako ingekuwa na akili hata kidogo hasa wakati huu tunapoomboleza misiba hii ya wenzetu. Nasema akili yako ingekuwa na akili kwa sababu msiba ni jambo la wote. Ukiona mtu au kiongozi analeta ubaguzi hadi msibani huyo hafai kukaa hata na nguruwe achilia mbali binadam.
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaCCM mzee Samwel Sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema Joseph Mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Ujinga mwingine umepitiliza. Hii post pia unalipwa?
 
Back
Top Bottom