Mbowe karudi CCM kimya kimya?

Mbowe karudi CCM kimya kimya?

Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Mungai sio mchaga angekuwa mchaga angeenda
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Huu ni uchochezi, Jamhuri mko wapi mje mumtie huyu nguvuni? au ile sheria ipo tu kwa ajili ya kuwashughulikia wale wote wanaomuudhi Rais? huyu ni mchochezi na amendika maneno ya maudhi......
 
Ach
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Acha ujinga wewe,Mbowe alikuwepo kwenye msiba wa spika mstaafu si kutokana na kuwa Mwenyekiti wa Chadema bali Kiongozi mkuu wa upinzani bungeni na ndio maana anapata hata hizo stahili za kuwa kiongozi mkuu wa upinzani bungeni,hayo ya akina Mungai au Lema ni porojo tu sasa kama Mungai alikuwa Chadema mbona hakuagwa ki Chadema.
 
Mkuu usiwe unapoteza muda mwingi kumjibu MJINGA Kama huyu
Mkuu watu wengine akili yao ndogo ni kama ma-zombie amesahau kuwa Mbowe ni kiongozi mule mjengoni yeye anadhani Mbowe ni kiongozi wa Chadema tu na ndio analeta ujinga hapa,watu wakisema tujibidisha hata kutafakari wao na mihemuko tu,utalinganisha msiba wa kitaifa na kesi ya kujitakia ya Lema
 
Pamoja na kwamba mm n mwana-ccm sisupport hii post hata kidogo kama kweli watu tunaleta itikadi za vyama kwenye misiba hatutafika mahali hata kidogo

Kwanza uelewe MBOWE NI KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI ni kiongozi mkubwa sana ndan ya Bunge kiprotokali za Bunge anapaswa kwendaa

Bila Shaka mleta post ana tumbo la kuhara basi kama sivyo ana lake jambo,

Comrade mwenzangu jitahidi kujitafakari kabla ya kupost humu kama great thinker

Uzi kama huu c wakuleta hapa,Kesi na msiba kipi muhimu??

Msiba ni wa siku moja na siku bado zipo za kuendesha kesi
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Hakuna ulichoandika,kanywe chai au kapate lunch.
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Na hii itakupa ukuu wa wilaya?Kweli si waafrica tuu,watanzania ni useless people. Hii ndio on of best your can produce?
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Kama karudi CCM mpeni card ya CCM.
 
Watanzania wengi hatujui kujenga hoja lakini kusema mtu amehama chama ama ana kisasi na mtu aliyekufa kwa kuwa tu mtu amehudhuria ama hakuhudhuria mazishi no ikosefu mkubwa wa hoja ama ujinga.
 
Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.

Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.

Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.

Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.
Mkuu kumbe na ww uwezo wako wa kufikiri muda mwingine hautofautiani na yule Mbunge wa Mtera.
 
Asingeenda mngesema tumesusa mpaka msiba....ameenda mnasema wAmeama vyao......huu ni uchanga wa kifikra....endeleeni kusubiri tu
 
Elimu elimu elimu,vijana type yako ndo mtaji mkubwa wa ccm
 
mmoja aliagwa bungeni mwengine sio, Mbowe ni mbunge yupo haki kuaga bungeni na kule kama mda unatosha angeenda kama sio kutuma muwakilishi wake
 
Back
Top Bottom