nakushauri bule mbowe na wenzako , miaka mingi mumekuwa mnacheza na polisi lakini mnapoanza kucheza na jeshi basi taifa mnaliangamiza asubuhi na mapena ,
leo nimekusikia ukilewa sifa za bule ukizani wewe ni waziri mkuu kama mlivyoaidiana na kutoa amri zidi ya mkuu wa majeshi,mtu mwenye heshima kubwa katika taifa hili,
jua yafyatayo
1,makamanda wa jeshi sio watu wakutishia vijiweni kama mlivyokuwa mnawatisha makamanda wa polisi,wananagaika,
2, jua rais yeyote ili aweze kuongoza nchi lazima hasiwe na migongano na jeshi,ili aweze kuwa amir jeshi mkuu,
3,kauri zako ni janga la taifa
4,usijidanganye na kelele za washabiki wako ukazani unaweza kutoa amri juu ya mkuu wa majeshi,
nakukumbusha migogoro yenu na polisi kisa kauri zenu za kipuuzi na usizani na makamanda wa jeshi wako hivyo,
mwisho
jitaidi sana tena sana ukishidwa kueleza ilani yako basi kaa kimia lakini taifa letu liache libaki salama,
wewe ni nani unampa amri za kipuuzi mkuu wa majeshi au unazani wewe ni rais , kuwa makini huyu mtu sio wa kutishwa hivyo,
leo nimekusikia ukilewa sifa za bule ukizani wewe ni waziri mkuu kama mlivyoaidiana na kutoa amri zidi ya mkuu wa majeshi,mtu mwenye heshima kubwa katika taifa hili,
jua yafyatayo
1,makamanda wa jeshi sio watu wakutishia vijiweni kama mlivyokuwa mnawatisha makamanda wa polisi,wananagaika,
2, jua rais yeyote ili aweze kuongoza nchi lazima hasiwe na migongano na jeshi,ili aweze kuwa amir jeshi mkuu,
3,kauri zako ni janga la taifa
4,usijidanganye na kelele za washabiki wako ukazani unaweza kutoa amri juu ya mkuu wa majeshi,
nakukumbusha migogoro yenu na polisi kisa kauri zenu za kipuuzi na usizani na makamanda wa jeshi wako hivyo,
mwisho
jitaidi sana tena sana ukishidwa kueleza ilani yako basi kaa kimia lakini taifa letu liache libaki salama,
wewe ni nani unampa amri za kipuuzi mkuu wa majeshi au unazani wewe ni rais , kuwa makini huyu mtu sio wa kutishwa hivyo,