Mbowe: JWTZ imepeleka Wataalamu wa IT NEC

Mbowe: JWTZ imepeleka Wataalamu wa IT NEC

Status
Not open for further replies.
nakushauri bule mbowe na wenzako , miaka mingi mumekuwa mnacheza na polisi lakini mnapoanza kucheza na jeshi basi taifa mnaliangamiza asubuhi na mapena ,

leo nimekusikia ukilewa sifa za bule ukizani wewe ni waziri mkuu kama mlivyoaidiana na kutoa amri zidi ya mkuu wa majeshi,mtu mwenye heshima kubwa katika taifa hili,

jua yafyatayo

1,makamanda wa jeshi sio watu wakutishia vijiweni kama mlivyokuwa mnawatisha makamanda wa polisi,wananagaika,
2, jua rais yeyote ili aweze kuongoza nchi lazima hasiwe na migongano na jeshi,ili aweze kuwa amir jeshi mkuu,
3,kauri zako ni janga la taifa
4,usijidanganye na kelele za washabiki wako ukazani unaweza kutoa amri juu ya mkuu wa majeshi,

nakukumbusha migogoro yenu na polisi kisa kauri zenu za kipuuzi na usizani na makamanda wa jeshi wako hivyo,

mwisho
jitaidi sana tena sana ukishidwa kueleza ilani yako basi kaa kimia lakini taifa letu liache libaki salama,
wewe ni nani unampa amri za kipuuzi mkuu wa majeshi au unazani wewe ni rais , kuwa makini huyu mtu sio wa kutishwa hivyo,


 
mkuu tatizo tanzania hatuna tume huru ya uchaguzi. bali tuna idara ya serikali.

Mkuu basi wetu anaemalizia muda wake si muungwana. Wakati wa mkwamo wa katiba, alikutana na kituo cha DEMOKRASIA chini ya uenyekiti wa J M Cheyo aliahidi tume huru ya uchaguzi. Kilichotokea nini kama si kupiga chini makubaliano yote, kwani ndo kichaka chao cha kupanga matokeo.
 
haa haa vipi ushahidi wa jk,chenge,mkono,karamagi na wenzao? maana hata hao walikuwa kwenye list of shame.

Mshaambiwa kama mna ushahidi muupeleke mahakamani sio kupiga kelele kwenye majukwa ya siasa.
 
chagadema wanadhani kununua toyota pickup tatu na kuwapa wanywa viroba waning'inie huko nyuma kwenye mabomba huku wamevaa sungoogles,ndo tayari wana jeshi la kupambana na JWTZ,,,,,,kweli enyewe wahenga walisema UJINGA NI KIPAWA.

haa haa kwa hiyo kazi ya wj ni kupambana na raia?
 
Nawe umeandika uchafu gani huu? Ukiandika, tofautisha na mazungumzo ya uwanja wa fisi. Unaadika uchafu kama huu JF?
unawezaje kuanzisha thrd bila hata uangalifu maandishi yamejaa matamshi ya lugha yako. Badala ya kupoteza muda JF rudi shuleni. Kama uko jeshini tayari, omba uanze masomo ya sekondari.
 
Pole mkuu! Kwa taarifa yako hata Polisi pia wanataka mabadiliko! Unadhani wao si watu? Hata wanajeshi pia wanataka mabadiliko! Kwani wao si watanzania? Sidhani kuwa eti wanapenda sana vurugu! Wafanyakazi wa serikali pia wanataka mabadiliko! Unadhani wote wanapenda sana CCM na kuchukia Chadema? Fikiri zaidi ya hapo.
 
Wanataka kutafuta fisingizio wanaligusa JWTZ ? Watu wanakesha wakilinda mipaka ya nchini usiku na Mchana leo wanambiwa Hivi? Kuna kitu kinatafutwa
 
Tukiyasikia kwa wezetu sis tuchukuwe tahadhali kabla wapo watu hufuata mkubo Vila kujuwa wankwenda wapi we hukusoma hata f4 hukufika alafu unadanganywa utapata ajira.ebu nijuzeni niserikali gani wanaajiriwa wasio na elimu jiulize we we kijana
 
CHADEMA habari zao hua sio za ubabaishaji...ujumbe umewafikia vyema Mwamunyange na Kikwete wake....Bao la mkono wakipe mabafuni mwao

Habari zao ni ubabaishaji kwani hata list of shame inaonekana ni ubabaishaji na walimchafua Lowassa miaka 8 na hao wengine pia hata ushahidi hawana!
 
Nyie mlihongwa humu wanaopigania CCM,tatizo ni nini kama alisema mbowe waacheni tume iwajibu au wakanushe au wampeleke mahakamani siyo mnabaki kutukana humu.Kumbukeni wakati kadi za polisi zilipokusanywa IGP kakanusha kuwa ni kweli, subirini na ninyi watajibu maana kuna intelejesia ya CHADEMA inafanya kazi.
 
Upuuzi sana huu! kunazambi gani kwa jeshi wenye taaluma ya IT kufanya kazi hiyo kama wanauwezo?
mbona hatuwkatai madakitari wakijeshi wanapotoa huduma kwa wagonjwa wa kiraia!?
 
pumbavu weee....kwani wao siyo raia? hawakosei? hilo ni jeshi la wananchi wote siyo jeshi la CCM...likae pembeni wanasiasa wacheze mziki wa siasa.
 
Mkuu basi wetu anaemalizia muda wake si muungwana. Wakati wa mkwamo wa katiba, alikutana na kituo cha DEMOKRASIA chini ya uenyekiti wa J M Cheyo aliahidi tume huru ya uchaguzi. Kilichotokea nini kama si kupiga chini makubaliano yote, kwani ndo kichaka chao cha kupanga matokeo.

haa haa toka lini jk akahaidikitu akatimiza?
 
Lumumba imekosa watu wa propaganda.

Mmebaki na matisho huku kuandika kwenyewe hamjui.

UKAWA inawanyima usingizi.

Ngoja tuwaazime tena MUSSA ALAN kwa mkopo maana team lumumba mmezidiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom