Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Mwenyekiti wa CHADEMA leo hapa Mwanza amemuonya vikali mkuu wa majeshi CDF DAVIS MWAMUNYANGE juu ya hatua yake ya kutoa askari jeshi kadhaa na kuwapeleka TUME YA UCHAGUZI.
Amesema tayari wanao ushahidi wa kutosha na wakiutaka watauwasilisha.
Vile vile wamemuonya mwenyekiti TUME ya uchaguzi juu ya hatua yake ya kukubali kuwapokea hao wanajeshi ambao ni wataalam wa IT, imeelezwa kuwa wataalam hao wameambiwa wavae kiraia na wasijitambulishe kama wanajeshi.
Chanzo: Mimi mwenyewe leo hapa Furahisha Mwanza.
Amesema tayari wanao ushahidi wa kutosha na wakiutaka watauwasilisha.
Vile vile wamemuonya mwenyekiti TUME ya uchaguzi juu ya hatua yake ya kukubali kuwapokea hao wanajeshi ambao ni wataalam wa IT, imeelezwa kuwa wataalam hao wameambiwa wavae kiraia na wasijitambulishe kama wanajeshi.
Chanzo: Mimi mwenyewe leo hapa Furahisha Mwanza.